Mo Salah kubeba Ballon D'or 2025

Mo Salah kubeba Ballon D'or 2025

Hao wote Salah kawazidi Takwimu, lakini pia Liver ana chance kubwa zaidi kushinda makombe makubwa wako full charged na hawana injuries tofauti na Barca hawako consinstent
Sawa mkuu,Msimu mwaka jana Kachukua Rodri hatukuangalia takwimu kwamba Vinicious Jr kabeba Uefa ..Tumeangalia Mchango wako binafsi kwa Timu na hio ndio maana ya Ballon Dior(Mchango wa mtu kwa team katika kuleta mafanikio)
 
Ni kweli mkuu wangu, ila kwa hizi takwimu za Salah zinamchango mkubwa sanaa kwenye mafanikio ya Liver msimu huu labda itokee mambo ya mpira Liver asibebe Epl na Uefa
Tuzo hizi zipo kibiashara sana ,ndio maana Ballon Dior walitengana na FIfa katika ugawaji wa tuzo ...Labdah Barcelona ifanye vibaya ila wakifika mbali uefa tu Kiatu chakwao....Sijali cha Ligi au Copa del rey
 
IMG_20250214_080344.jpg
Mfano hizi ni Takwimu za wafungaji magoli mengi kwa msimu mmoja Duniani....Messi ana balloon Dior 8,ila Takwimu za Ufungaji hapa kaibuka kidedea mara 3 Tu,Ulaya ana golden boot 6....Nachojaribu kukuonyesha isho sio kuwa na viingi ,inshu ni kutumia vidogo na kufanya vizuri ili Watu tukukubali.... Salah atakuwa vizuri magoli meeng kama Mbape,kane,Halland au lewandoski lakini kwenye ugawaji WA tuzo hatopata kwa kigezo cha goli nyiingi au Uefa ana goli nyiingi.... Magoli Yake yameleta impact gani kwa team
 
Yani league bado hazijafikia patamu tayari nyie watu weusi mmeleta mshindi wenu,sasa sikilizeni, kuchukua ballon D`or Si kufunga tu,bali mchezaji amesaidia vipi team kufikia malengo. na LIVERPOOL asipochukua EUFA CL huyo salah wenu asahau kuchukua tuzo kubwa duniani, Waafrika mna nongwa sana
 
Mfano hizi ni Takwimu za wafungaji magoli mengi kwa msimu mmoja Duniani....Messi
Upo sahihi mkuu ndomana na mimi nimesema Liver ana chance kubwa ya kubeba EPL, EFL na hata UEFA bado Liver ni strong opponent. Akibeba haya makombe na takwimu zake zikapanda lazima abebe Tuzo kubwa za dunia.
 
Waafrika mna nongwa sana
Mkuu sio Nongwa ila ni uhalisia tu tunazungumza kwamba Liver akibeba UEFA, EPL ana EFL namuona hana mpinzani kwenye individual performance na Team achievements
 
Hakuna cha ubaguzi wala nini, ni suala la uwezo tu. Kama Ballon d'or ameshawahi kuchukuliwa na wachezaji wengi tu mwenye ngozi nyeusi sembuse muarabu.

Mpaka sasa Mo Salah ameonyesha uwezo mkubwa zaidi, takwimu ziko upande wake, ukiondoa Lewandosky, bado sijaona wa kuweza kumkaribia.
Kwa mtazamo wangu, kama itatokea Mo salah atafanikiwa kuiongoza Liverpool kutwaa EPL, pamoja na EUFA, hata kama takwimu za ufungaji zitabakia hivi hivi bila shaka atapewa tuzo.
 
Kwa mtazamo wangu, kama itatokea Mo salah atafanikiwa kuiongoza Liverpool kutwaa EPL, pamoja na EUFA, hata kama takwimu za ufungaji zitabakia hivi hivi bila shaka atapewa tuzo.
Hakika mkuu umenena vyema sana
 
They will never ever hand a ballon d'or to muslims player walijichanganya mara moja kwa wakampa black player yaani hapo watatumia kigezo cha national team hao jamaa hawana vigezo maalum kwenye national team Mohammed Salah kwenye national hana records nzuri walimnyima Lewandowski wakamnyima vinicius wampe Salah ili wanajisi madhabahu ya bwana never ever.
 
Ni ngumu sana kwa Salah kuipata
Kweli ni ngumu sana lakini kwa Kiwango alichoonesha mpaka sasa na form ya Liverpool huwezi kumtoa kwenye Top 3 ya players wenye kiwango kikubwa dunian kwa sasa
 
Ni dhahiri dalili ya mvua ni mawingu, kwa takwimu za Egyptian Talisman Mohamed salah namuona akienda kuibuka kidedea mshindi wa tuzo ya Ballon D'or mwaka huu 2025.

Bila shaka, naamini Liverpool atashinda kombe la Ligi kuu EPL 2025.

Bila wasiwasi, naamini Liverpool atashinda Final ya kombe la EFL 2025.

Na mpaka sasa, Liverpool ni Strong candidate wa kushinda kombe la UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2025.

Mpaka sasa hizi ni Takwimu za Mo Salah:
EPL : 22 GOALS + 14 ASSISTS
UEFA : 3 GOALS + 4 ASSISTS
EFL : 2 GOALS + 1 ASSIST

Hakuna mchezaji mwenye takwimu kama hizi kwenye ligi kuu 5 barani ulaya.

Mo Salah anaenda kuwa mchezaji wa pili kutoka bara la africa kushinda hii tuzo kubwa tangu abebe George Weah mwaka 1995.

Mo salah asipopata majeraha mpaka mwisho wa msimu atakua kinara wa kuwania tuzo zingine maarufu kama Premier League Golden Boot, Globe Soccer award, IFFHS World's Best Player, FIFA Best Men's Player of the Year na Premier League Player of the Year.

Mimi kama Mshabiki kindakindaki wa Real Madrid na Arsenal, nitakua na furaha tele kumuona muAfrica akibeba hizi tuzo kubwa.

Msikilize hata Arsené Wenger hapa chini 👇
KUhusu UEFA ni kama mlivyosikia
 
Back
Top Bottom