Mo Salah kutimkia Saudia kuungana na Benzema Al-Ittihad. Hii bandu bandu hatari kumaliza gogo

Mo Salah kutimkia Saudia kuungana na Benzema Al-Ittihad. Hii bandu bandu hatari kumaliza gogo

Miaka ya 60 ligi ya UINGIREZA NA BRAZIL ipi ilikuwa inalipwa sana?
Wao wazungu nao kufika hapo wamemwaga pesa na mipango mingi.

Miaka ya 50 mpaka 70hivi ligi ya brazil ilikuwa moto mnoo.
Pele yupo kwao brazil lakini anavuta mpunga mrefu.
Copa libertodes ilianza miaka kadhaa kabla ya uefa.

Hivyo kama waarabu wakiwa namioango mizuri na hizo fedha zao, wanaweza kufanikiwa huko mbele ya safari
 
Waarabu sidhani kama wana mikakati ya muda mrefu. Wasije wakakata moto haraka kama wachina.

Nao walikuja kwa kasi sana naona sahivi wamekata moto.
Target ya Daudia ni World cup ya mwaka 2030
 
Qur'an 57:20. Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu. 20
 
Kitu usichokijua kuhusu wachina. Wao plan yao ni miaka 50 walichokua wanakifanya kipindi kile ni kujaribu kuwahamasisha vijana kuupenda mpira wao kwa kuwasajili mastaa kutoka ligi kubwa hivyo ni hamasa kwa watoto na vijana wanaochipukia. Kwahiyo kwa sasa bado wanaendelea na project yao na ni mapema sana kusema wamefeli.
Mkuu nisome vizuri sijasema wamefail kwa project yao ila kasi imepungua kama sio kuisha kabisa. Kipindi kile walichukua mastaa kila msimu.
 
Sasa na wewe unaamini kabisa saudia itakuwa bora? Wao badala ya kutengeneza vipaji vyao wanakalia kuiba vipaji vilivyo tengenezwa na wengine, hapo ni sawa na mtu mwenye njaa umpe chakula badala ya kumfundisha namna ya kulima siku zote atakuwa tegemezi tu.
Ushauri wangu kwa saudia watengeneze watu wenye vipaji sio kuchukua hao wazee, baada ya misimu miwili tu ligi inadoda.
Ila me naona ligi nyingi zikiwa bora katika mabara tofauti tutapata radha bora zaid kama zamani ...

Kombe la dunia la zamani tulikuwa tunaona vipaji vipya bora kabisaa ambavyo hatujawahi kuviona tofauti na sasa...yaan ligi ya uingereza,ufaransa,italy, Germany na spain inabeba wachezaji woooote watakao chezea ligi ya timu zao za taifa katika mabara mingine yaliyoshiriki hamna kitu kipya..

Ila ikitokea ligi nje ya hizi za ulaya zikawa bora nazo tutafurahia sana ushindani na vipaji vipya kuchomoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka ya 50's hadi 70's ligi bora ilikuwa Brazil, kuanzia 70's kuja 2007 ligi bora ilikuwa Italy, 2007 hadi 2017 ligi bora ilikuwa Spain, 2018 hadi 20... ligi bora ni Epl.


Kwa hoja hiyo, usishangae baada ya miaka 10 ligi bora ikawa ya Saudia.
Alafu 2099 ikawa Africa, kila kitu kinawezekana
 
Saudia miaka kadhaa mbeleni itakuw na Ushawishi mkubwa Na Hat kushindanishwa na Ligi kadhaa za Ulaya,

Kwasabab hao wachezaj wakubw wanaowachukua sio kwamb Wanawachukua ili Wakawasaidie kushinda makombe Pekee bali pia ni promotion hiyo,

Na kw kufany hivyo Watu wataanz kupenda kufatilia hilo ligi maan wachezaj pendwa weng watakuw huko hivyo kw ufatiliaji huo pia Vitaonekan na vipaji vingne ambvyo ni wazawa wa Saudia,

Na wanawez kusajiliwa na klabu za ulaya na Hiyo ikawa ni jibu tosha la Soka la saudia kuvuka mipaka ya Kidunia,

Kwa wale wanaosema Saudia watakata moto kam Wachina kitu ambcho hamkielew ni kwamba Ni vile tu Propaganda za Kimagharibi ndo znawafany muone Wachina wana hela kulko Waarabu,

ila hao majamaa kwenye suala la Hela ni moto wa kuotea mbali wanamwaga pesa bila manung'uniko, mfano mdog angalia hat klabu za ulaya zinazomilikiwa na Waarabu kibunda cha usajili ambacho huwa wanapewa.
 
Ngoja afuate kiinua mgongo chake.

Hii niliiona mapema haswa kipindi cha friendly matches kuna dogo alikuwa akiingia sub kuchukua namba yake anakasirika mno.

Mwisho wa siku Liverpool ni Liverpool tu, nakumbuka come back ya Barcelona yeye na mane hawakuwepo ila kiliwaka mno.....

Respect 🤜 Mo kwa nguvu yako...
Amechelewa sana nilijua lazima aende huko..
 
Saudia miaka kadhaa mbeleni itakuw na Ushawishi mkubwa Na Hat kushindanishwa na Ligi kadhaa za Ulaya,

Kwasabab hao wachezaj wakubw wanaowachukua sio kwamb Wanawachukua ili Wakawasaidie kushinda makombe Pekee bali pia ni promotion hiyo,

Na kw kufany hivyo Watu wataanz kupenda kufatilia hilo ligi maan wachezaj pendwa weng watakuw huko hivyo kw ufatiliaji huo pia Vitaonekan na vipaji vingne ambvyo ni wazawa wa Saudia,

Na wanawez kusajiliwa na klabu za ulaya na Hiyo ikawa ni jibu tosha la Soka la saudia kuvuka mipaka ya Kidunia,

Kwa wale wanaosema Saudia watakata moto kam Wachina kitu ambcho hamkielew ni kwamba Ni vile tu Propaganda za Kimagharibi ndo znawafany muone Wachina wana hela kulko Waarabu,

ila hao majamaa kwenye suala la Hela ni moto wa kuotea mbali wanamwaga pesa bila manung'uniko, mfano mdog angalia hat klabu za ulaya zinazomilikiwa na Waarabu kibunda cha usajili ambacho huwa wanapewa.
Sio kwamba wanapesa kuwazidi wazungu au wachina ila mwarabu sio mbahili na hawazi sana hesabu za pesa maana visima vya mafuta vinatemaaaa tu wese.
 
Hilo unalosema haliwezekani.

Labda hizo club za EPL nazo zinunuliwe na hahao Saudi Arabia ambao kwa sasahivi wanaimililki New Castle na timu ikaongeza uwezo mkubwa zaidi wa kifedha right away.

Haya ni mambo ya investments zaidi. Saudi wako kwenye “promotion”
Nadhani ile kiu yao ya kuandaa world cup mwaka 2030 inawapeleka kufanya huu uwekezaji
 
Back
Top Bottom