Mo salah tested positive for Covid19

Mo salah tested positive for Covid19

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah" Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon

Hivyo salah ameondolewa kwenye kambi ya mafarao na tayari amejiweka carantine
 
Shirikisho la kandanda nchini misri limethibitisha kuwa mshambuliaji wake Mohammed Salah maarufu kama "Mo salah"
Amekutikana na ugonjwa wa Covid19 wakati akijiandaa na mechi ya kufuzu afcon
Hivyo salah ameondolewa kwenye kambi ya mafarao na tayari amejiweka carantine

Source, Supersoport
 
Back
Top Bottom