Wana JF nimekuja na mada nyingine kuhusu hizi cm zetu za mikononi, binafs nataman niachane na cm kwn ndio chanzo cha mgongano na my wife! Mke wangu kila nikirud kutoka kazn lazm akague cm zangu je hii ni sawa?kina dada hata ninyi ndivyo mnavyofanya kw waume zen au maboyfriend wenu?msaada pls tuwekane wazi kwa hili.
hajafundwa huyo na kungwi wake?? mwanamke aliyekamilika hagusi simu ya mumewe hata siku moja!
hata mie siwezi kugusa simu ya mtu wangu hata siku moja!!!
kwani sim ni ya watu wanga?Atiiiiiii???
Mwanaume anaempa mwanamke wake sababu ya kutomuamini ndo anaegusiwa simu yake.
Na wewe mtoa mada una wasiwasi gani???Kama hujafanya chochote kibaya mpe tu....mwisho wa siku atazoea na kuacha!!
kwani sim ni ya watu wanga?
Yaani hii ishu ya simu kama mtu haujiamini basi lazima utakuwa mkali simu yako ikitaka kuguswa lakini kama najijua ninachofanya na simu yangu sina wasiwasi nampa tu akiitaka ninakuwa sina wasiwasi unless otherwise uwe na vimeo vingine ndio lazima utakuwa mkali simu yako ikiguswaKama ndoa imewafanya wamoja basi ni yao wote....siri za nini kwenye ndoa?
Hata kama ikiwa ya mtu mmoja still it does not matter kama unatumia simu yako kwa kufanya maovu basi nategemea utatoa defensive mechanism kama ulivyosema hapo juu.kwani sim ni ya watu wanga?
Yaani hii ishu ya simu kama mtu haujiamini basi lazima utakuwa mkali simu yako ikitaka kuguswa lakini kama najijua ninachofanya na simu yangu sina wasiwasi nampa tu akiitaka ninakuwa sina wasiwasi unless otherwise uwe na vimeo vingine ndio lazima utakuwa mkali simu yako ikiguswa
Wewe subiri utasikia watu watavyokuwa wanaji-defend hapa sijui simu ni ya mtu mmoja kuna wengine simu ikiita atatoka mbio utafikiri yuko kwenye marathon ili mradi tu simu yake isiguswe na mtu mwenzakeSi ndo hapo.....watu wanaishi kwa wasiwasi utadhani Osama!!
Wewe subiri utasikia watu watavyokuwa wanaji-defend hapa sijui simu ni ya mtu mmoja kuna wengine simu ikiita atatoka mbio utafikiri yuko kwenye marathon ili mradi tu simu yake isiguswe na mtu mwenzake
Hili neno la leo siku ya leo kabisaHao ndo wale wanaDOA!!!Mi mtu asiye na wasiwasi wala si hangaiki na simu yake....hata nikiazima nitumie nafanya kile nnachohitaji tu basi.
Hili neno la leo siku ya leo kabisa
mambo ya kukosea ktk call/text ni ya kawaida, basi ije itokee mko pa1 na huyo mke wako then litokee hilo... utaliona sakata lake. ajaribu kumuachisha tabia hiyo awezavyoAtiiiiiii???
Na wewe mtoa mada una wasiwasi gani???Kama hujafanya chochote kibaya mpe tu....mwisho wa siku atazoea na kuacha!!
Kama ndoa imewafanya wamoja basi ni yao wote....siri za nini kwenye ndoa?