Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
mambo ya kukosea ktk call/text ni ya kawaida, basi ije itokee mko pa1 na huyo mke wako then litokee hilo... utaliona sakata lake. ajaribu kumuachisha tabia hiyo awezavyo
Kama umemjungea mtu hali ya kukuamini hata ikitokea ukawa unaongea na msichana hatakujia juu....anaweza tu akauliza nani huyo na kuridhishwa na jibu lako.