Lengo la mobile money ni kurahisisha transaction baina ya watu sio kufanya kazi kama benki.
Wengi wanazifanya benki ndogo kwa urahisi wa kuweka, kutoa na kuhamisha hela.
Usalama ni mdogo sana kulinganisha na benki kwenye hizi mobile wallet zetu.
Na kuna sheria za kuifanya benki kuitwa benki na kufanya kazi za kibenki ila hakuna sheria ya kuwafanya tigo pesa kufanya kazi za kibenki.
Ndo maana limits za kuweka hela kwenye hizi mobile wallet ni 5M ila benki ni unlimited.
Sent using
Jamii Forums mobile app