Mobutu Seseseko: Somo zuri kwa viongozi wetu wa sasa

Mobutu Seseseko: Somo zuri kwa viongozi wetu wa sasa

Nilichogundua ukiona kiongozi anajiongezea Title za ajabu ajabu kama seseseko kuku ngwendu wa zabanga ujue ni dikteta

Hapa nyumbani utasikia Nzila nkende ujue tayari
 
Mimi siko hapa kwa ajili ya ligi ila nimeiangalia video hio ikanikumbusha Burigi
Hilo eneo la Burigi mpaka kiswa cha Rubondo yamekuwa ni Game Reserves kwa siku nyingi sana, labda jamaa kasaidia kuyatangaza yajulikane na probably kuya-upgrade kuwa National Parks. Kabla ya mwaka 1980 yalikuwa maeneo ya kuwinda, lakini muda mfupi baada ya vita Nyerere akayaidhinisha kuwa Game Reserves.
 
Hilo eneo la Burigi mpaka kiswa cha Rubondo yamekuwa ni Game Reserves kwa siku nyingi sana, labda jamaa kasaidia kuyatangaza yajulikane na probably kuya-upgrade kuwa National Parks. Kabla ya mwaka 1980 yalikuwa maeneo ya kuwinda, lakini muda mfupi baada ya vita Nyerere akayaidhinisha kuwa Game Reserves.
Hayo maeneo yamejaa wawindaji wa kihutu na hakuna wa kuwasemesha
 
Waafrica nikuwa_chapa kabisa mijeledi wakome hapo kidoogo wataacha ujinga.wataendelea isipokuwa mimi tu nisichapwe ndo mstaarabu napenda watu wote na maendeleo. Mbuzi anaweza lazimishwa kunywa maji kwa kumpanua mdomo hata km hataki atakunywa tu.akizembea atapaliwa. hafi ila ataumia. Hatakubali kuumia buree ndo sawa na waafrica. Piga,Kata,funua. Lengo ni ili Waisome kila rangi ya ubaya tuone km hawataenda kunako maendeleo na ubunifu. Shaenzy zenu!!!!!! Tujaribu tuone.
 
Jana nimeangalia hii film .Namuona Magufuli kabisa ndani ya Mobutu. Kujiona yeye ndo yeye. Yeye ndo Jiwe. Mobutu aliwauwa wote waliompinga,alikuwa kitombi mpaka wake wa mawaziri,mabalozi wake. Ila yote yana mwisho.
 
Jana nimeangalia hii film .Namuona Magufuli kabisa ndani ya Mobutu. Kujiona yeye ndo yeye. Yeye ndo Jiwe. Mobutu aliwauwa wote waliompinga,alikuwa kitombi mpaka wake wa mawaziri,mabalozi wake. Ila yote yana mwisho.
Atiii, alikuwa kitombi?[emoji16][emoji16][emoji16]
 
alikuwa kitombi mpaka wake wa mawaziri,mabalozi wake.
Kumbe mnatujuaga tabia zetu na mnatuita majina yetu kabisaa! ke'' kutamka hili neno lazima ''me'' yeyotealipo isimame! japo kwa muda mfupi! hata km avatar haipo, na physically sikujui!!!
 
Back
Top Bottom