Wazabanga kuku
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 264
- 380
[emoji23] [emoji23] [emoji23] aongeze picha tu. Picha mbili tu hazitoshi kabisaPicha chache mno, wewe Bashite nini?
Nikiwa na familia home, nyimbo ninazoweka huwa ni za mrisho mpoto, ambapo familia nzima mwaweza angaliaa bila kuwa na shaka nini kitaokea.Kweli kabisa!!! BASATA imewafumbia macho kabisa hawa...
Jaman wakivaa madera Nani atawaangalia[emoji4] .....ata hao BASATA wanafurahia tu wakiwa maofisini ni burudani toshaKweli kabisa!!! BASATA imewafumbia macho kabisa hawa...
Kuna hao ladies kwa pool sink ndio ata sijaelewa kwanin hawajaifungia[emoji35] [emoji34]Pata hiyo hapo video kuusindikiza huu uzi
Alafu sijui hawajistukiii!!!Nikiwa na familia home, nyimbo ninazoweka huwa ni za mrisho mpoto, ambapo familia nzima mwaweza angaliaa bila kuwa na shaka nini kitaokea.
Ila hizi zingine, Mhh! hapana
Kweli
Nauliza hivi wadau kwani ni lazima kwa video queen au model kuvaa nusu uchi?
Hawa watu wanaleta vichocheo vya ngono na ubakaji inabidi serikali iwatazame kwa jicho la 3 wanaharibu utamaduni wa Kitanzania
Kama ukahaba umepigwa marufuku basi na hawa video queens/models nao wapigwe marufuku manake hawana tofauti na machangudoa
Mamii upo salama!Kweli kabisa!!! BASATA imewafumbia macho kabisa hawa...