Kinaitwa 调ઉપકરણ 制 કે એનાલોગ解ઉપકરણ调સંકેત器 વ....... Hahaaa natania !!
(Kifaa kinacho badilisha mawimbi ya Ishara ya analog na kutafsiri/ kufanya taarifa )
hahaa! sifikiri kama kuna neno rasmi la kiwahili, nimejaribu kufikiri tokea jana na leo nakutumia neno hili:- Neno jipya Ni "kichakatamtandao" = "Kichakatando"