modem kwa kiswahili inaitwaje

King'amuzi kama ilivyo kwa decoder.
 
modem n modemu: kidude cha kuunganisha kompyuta na vifaa vingine kupitishia data.

source: TUKI
 
king'amuzi shirikishi........
 
Reactions: SMU
Kinaitwa 调ઉપકરણ 制 કે એનાલોગ解ઉપકરણ调સંકેત器 વ....... Hahaaa natania !!

(Kifaa kinacho badilisha mawimbi ya Ishara ya analog na kutafsiri/ kufanya taarifa )

hahaa! sifikiri kama kuna neno rasmi la kiwahili, nimejaribu kufikiri tokea jana na leo nakutumia neno hili:- Neno jipya Ni "kichakatamtandao" = "Kichakatando"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…