guys ntajaribu kutafuta hao wa2 niwaulize kwa mbinde coz ninakoishi mtu ana2mia net kama kawa since january na ikifka saa sita ucku mpka sa 12 asbh speed huwa inakimbilia had 600kbps!! Mwanza hku ukitaka kuwapata nenda brothers internet cafe ndo wachakachuaj walipo!
Hapo inabidi tuwe wapole tu tusubili Crackers wafanye vitu vyaosasa tufanyaje ili tuweze kutumia hizo za zantel kimagumashi?