- Thread starter
- #161
Kumbe unaisoma hii thread kimia kimiamulisaaa joto la jiwe ichoboy01 leteni makende hapa Tpa ni 35floors natusiwai sumbuana tena mkisema 40 ***** 😀😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe unaisoma hii thread kimia kimiamulisaaa joto la jiwe ichoboy01 leteni makende hapa Tpa ni 35floors natusiwai sumbuana tena mkisema 40 ***** 😀😀😀😀😀😀
Huyo Bottas nimemulisha viwanda hadi kanikimbia. Leo nataka nimlishe tena uzinduzi wa viwanda.nioneshe sehemu kasema TPA ni 35 floors nasubiria😀😀😀😀😀😀😀
Huyo Bottas na Mwasit ni ndugu. Ina wachoma kweli kusikia TPA ni 40 floors.nioneshe sehemu kasema TPA ni 35 floors nasubiria😀😀😀😀😀😀😀
Huyo Bottas na Mwasit ni ndugu. Ina wachoma kweli kusikia TPA ni 40 floors.
Muda wote anapita humu kimia kimiaView attachment 750593
PPF Tower uc toped out iko na flr 38 wakat render zilisema 35flr. ..ata ukipata picha yake sahii utaona...sasa wewe menyana na ukwelSo you think a thread in Skyscrapercity is a more valid source than the Architect who designed the building? For your information I contributed to that thread in SSC and the title was changed from 35 floors to 40 floors by Bantugbro who is a mod there. The change was never done through valid info but simply out of speculation by the Tanzanian members who were hungry to beat Kenya in the sky battle. He deleted all our comments that proved the tower is 35 floors.
With TPA case I'm not talking about renders, I'm talking about the source - the real source. You heard it from the architect himself. What's wrong with you bongolalas?PPF Tower uc toped out iko na flr 38 wakat render zilisema 35flr. ..ata ukipata picha yake sahii utaona...sasa wewe menyana na ukwel
Sasa shida ni apo kwenu mbona Hamna nyumba mlizodesign mpya ya adabu? Old mutual tower mnaiga newyork,prism mnacopy britam ndio usiseme...kwann hamuwez kudesign nice building kama tpa na PSPF mzijenge Nbo. ..ni sahihi mlipewa pesa nzuri mtoe design yaukakika na hayo majumba ni mazuri sio tu dar bali ata Africa yote inajuaSo what? Your parliament, TPA tower, PSPF etc were designed by Kenyan conpanies and we don't deny you sleep because of it.
Sasa shida ni apo kwenu mbona Hamna nyumba mlizodesign mpya ya adabu? Old mutual tower mnaiga newyork,prism mnacopy britam ndio usiseme...kwann hamuwez kudesign nice building kama tpa na PSPF mzijenge Nbo. ..ni sahihi mlipewa pesa nzuri mtoe design yaukakika na hayo majumba ni mazuri sio tu dar bali ata Africa yote inajua
Mliwahi jipa shughuli ya kuhesabu flr mkapata 36 kwenye uzi wa dar vs nbo. ..sasa kwann msitume mkenya mmoja aende kwenye lift pale aone inasomaje maana ninyi ni wabishi sana...alizindua Ilo jengo jpm na raisi wa congo wakasema ni 40 flr sasa ninyi wakenya wa km 1000+ kutoka dar hadi Nbo mnawashwa nn na ukwelWith TPA case I'm not talking about renders, I'm talking about the source - the real source. You heard it from the architect himself. What's wrong with you bongolalas?
Nani alidesign isn't my concern ...jengo liko kwetu ata ninyi sgr alidesign na kujenga mchina what is important ni mali ya nani na mahali iko basiNyie ndio mliodesign TPA Na PSPF? Ile mall ya Mwanza na Parliament yenu nyie ndio mliodesign?
huyo bogus achana nae atakupotezea mudaHuyo Bottas nimemulisha viwanda hadi kanikimbia. Leo nataka nimlishe tena uzinduzi wa viwanda.
Mliwahi jipa shughuli ya kuhesabu flr mkapata 36 kwenye uzi wa dar vs nbo. ..sasa kwann msitume mkenya mmoja aende kwenye lift pale aone inasomaje maana ninyi ni wabishi sana...alizindua Ilo jengo jpm na raisi wa congo wakasema ni 40 flr sasa ninyi wakenya wa km 1000+ kutoka dar hadi Nbo mnawashwa nn na ukwel
Milisema 36 leo 35 ukwel ni 40 sasa mnajikoroga na kujivuruga wenyewe...Sasa ni 36 sio 40 Tena?
Wewe ulio Dar, nenda hapo Kwa lift upige picha inayoonyesha 40 floors utuletee maanake sisi tunafuata data ya the real architect who designed the building - not just a random man on JF trying to prove a point.
yani huyo TPA inamuumiza sana roho yani anatamani hata iwe 15floors😀😀😀😀😀 hata mzizima ilikua 35 na imeshavuka over 35floors lakin tumekaa kimyaPPF Tower uc toped out iko na flr 38 wakat render zilisema 35flr. ..ata ukipata picha yake sahii utaona...sasa wewe menyana na ukwel
Nani alidesign isn't my concern ...jengo liko kwetu ata ninyi sgr alidesign na kujenga mchina what is important ni mali ya nani na mahali iko basi
wewe usijichanganye TPA ni 40floors 😀😀😀😀Sasa ni 36 sio 40 Tena?
Wewe ulio Dar, nenda hapo Kwa lift upige picha inayoonyesha 40 floors utuletee maanake sisi tunafuata data ya the real architect who designed the building - not just a random man on JF trying to prove a point.
Amepatwa na wivu...unajua wivu ni kidonda[emoji16]yani huyo TPA inamuumiza sana roho yani anatamani hata iwe 15floors😀😀😀😀😀 hata mzizima ilikua 35 na imeshavuka over 35floors lakin tumekaa kimya
yeye hua anafkiri tukisema 35 basi tunaweka msingi wa 35 😀😀 hajui 35 floors inaeza wekwa msingi wa 40floors
kama kwenye design yake imeonekana errors wakat wa implementations munajenga hvo hvo😀😀😀Jengo likiwa kwenu haimaanishi mnalielewa kuliko aliyedesign. Mkenya asiye na knowledge ya rail design hawezi pingana na Engineer Mchina aliyedesign hiyo SGR kuihusu eti kwa sababu yeye yupo Kenya.
alafu sijui ana nini na TPA yani linamuuma sana hilo jengo 😀😀😀😀😀Amepatwa na wivu...unajua wivu ni kidonda[emoji16]
Milisema 36 leo 35 ukwel ni 40 sasa mnajikoroga na kujivuruga wenyewe...