Modern Airport Terminal in East and Central Africa almost complete

Modern Airport Terminal in East and Central Africa almost complete

If old godown of JKIA with all terrorism threats has been given that status, it will take less than a year for super modern JNIA in a country of peace and unity to be granted that status, mark my words.
Tuki, tuta kwa huwa hamchoki na izi kwaya zenyu, unitag mkipata cat1 2040 *****.
 
Itakuwa na:
1. Lift 14
2. Escalators 9
3. Travelators 2

Itakuwa na automated system yakupokea mizigo nakufanya sorting.

Itakuwa na shopping mall pamoja na 5 star hotel kwa pembeni.

Kutakuwa na Big screens zakutangazia vivutio ndani ya terminal.

Pia nijengo linaloweza kupanulia pindi idadi ikiongezeka.

Pia kutakuwa na state of the art security with high tech CCTV.

Pia finishing yake itakuwa yenye kuvutia sana pindi litapo kamilika



Hongera Sana, lakini tumechelewa Sana mkuu. Inabidi tuwe kama Singapore, Hong Kong, au Dubai.
 
Southern mall inaitwa elevator kwasababu inakutoa kwenye floor moja kwenda nyingine. Kama ipo straight kwenye floor basi ni travelator. Make a difference please😀😀😀
Hajajua bado tofauti ya travelator na elevator
 
Tuki, tuta kwa huwa hamchoki na izi kwaya, unitag mkipata cat1mamae
LAPSET- tuta, kusafirisha mafuta kwa barabara- Tuta... BRT- Tuta... Electrification of SGR-Tuta... SGR to Naivasha and Malaba-Tuta... Galana project-Tuta... Free secondary education-Tuta..........[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
How in the 21st century can guys celebrate moving walkways
IMG_20180205_193837.jpeg
 
LAPSET- tuta, kusafirisha mafuta kwa barabara- Tuta... BRT- Tuta... Electrification of SGR-Tuta... SGR to Naivasha and Malaba-Tuta... Galana project-Tuta... Free secondary education-Tuta..........[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Tunajua watu wa tuta...don't try to twist that
 
LAPSET- tuta, kusafirisha mafuta kwa barabara- Tuta... BRT- Tuta... Electrification of SGR-Tuta... SGR to Naivasha and Malaba-Tuta... Galana project-Tuta... Free secondary education-Tuta..........[emoji1] [emoji1] [emoji1]
JKIA Greenfield Terminal tuta, hunger fighting tuta, one laptop for each kid, tuta...
 
we ni mpumbavu kweli travelator is not equivalent to escalator a reason a person on wheel chair or a trolley can't be accepted on any escalator!
Those things operate in the same way difference ni stairs kwa escalator... Na escalator ni good for small space ..juu ni steeper(more inclined).... Yani nakufunza unaanza kiherehere...ata moving walkway ulijua Leo....mta LAMBA LOLO
 
Hayo maandishi kwenye milango (Departures& Arrivals) wameyaweka mapema mno!
Hadi siku ya ufunguzi yatakuwa yamepauka!
 
Back
Top Bottom