Modern living house design

Modern living house design

Dogo Jifunze Hizo Softwares vizuri, Either AutoCAd au kama ni ArchCad, angalia ulivo na drawings mbovu kabisa. Either kama upo chuo maliza shule au kuwa na part time ya kumaster hizo softwares na pia jitahidi kwenye rendering.

Naweza kupa support pia uijue kazi.
Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
 
Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
Thanks for your comment
 
Nyie ndio mnaoharibu fani za watu...dah kwa bahati mbaya mamlaka husika imelala
Hivi ni watanzania wangapi wanaweza kuishi kwenye nyumba kama hiyo? Asilimia kubwa hawawezi. kwa hiyo huyu dogo mpe encouragement siyo kumponda! Au unadhani wote tunaishi nyumba zilizo disainiwa kwa ArchiCAD?
 
Hivi ni watanzania wangapi wanaweza kuishi kwenye nyumba kama hiyo? Asilimia kubwa hawawezi. kwa hiyo huyu dogo mpe encouragement siyo kumponda! Au unadhani wote tunaishi nyumba zilizo disainiwa kwa ArchiCAD?
thanks for your comment
 
Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
Anakosea sana..
 
Mara kadhaa nimekushauri jifunze kufanya rendering, jifunze Sana ukishaiva ndio uanze kuomba kazi.
Tatizo una haraka sana, Sasa ona kwa michoro hiyo utapata wapi mteja?
Mkuu ili rendering itoe picha yenye quality nzuri inatakiwa na properties zipi. Hapa ndio nakwama nimejaribu mara kadhaa najikuta natoa picha yenye quality iliyo fifia.
 
Jitahidi sana ufikie kiwango hiki
FB_IMG_1613494363404.jpg
 
Huyu jamaa kala laki5 yangu hapa. Nliiona sehem hii nikamwambia anitolee kama hii na yy ndo atasimamia kuhakikisha wajenzi wanajenga na mwonekano uwe kama huu

Mlamu, hiyo nyumba umeipendea nini hasa?
 
Hello everyone,

I'm still continuing with my project of house design. And today I've come with the project which I'm making this week as you can see on the photos below.

These photos show the house design. This house has four bed rooms, it's a modern living house. I've not finished yet b'cause I need to add several small elements which can make it more prettier.


View attachment 1712733

View attachment 1712734

View attachment 1712735

View attachment 1712736

View attachment 1712737

View attachment 1712738

View attachment 1712739

View attachment 1712740

View attachment 1712741
Unategemea kuweka attic? Kama watu wengine walivyokwisha comment, nadhani hii siyo design nzuri ingawa sijaona floor plan yake.
 
Back
Top Bottom