Modern living house design

Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
 
Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
Thanks for your comment
 
Nyie ndio mnaoharibu fani za watu...dah kwa bahati mbaya mamlaka husika imelala
Hivi ni watanzania wangapi wanaweza kuishi kwenye nyumba kama hiyo? Asilimia kubwa hawawezi. kwa hiyo huyu dogo mpe encouragement siyo kumponda! Au unadhani wote tunaishi nyumba zilizo disainiwa kwa ArchiCAD?
 
Hivi ni watanzania wangapi wanaweza kuishi kwenye nyumba kama hiyo? Asilimia kubwa hawawezi. kwa hiyo huyu dogo mpe encouragement siyo kumponda! Au unadhani wote tunaishi nyumba zilizo disainiwa kwa ArchiCAD?
thanks for your comment
 
Huyu dogo ni mbishi Sana, Mara kadhaa nimemuambia jifunze zaidi na zaidi ukishaiva ndio uanze kuomba kazi. Yeye anaomba kazi ikiwa kazi yenyewe hajaijua vizuri, Sasa sijui hao wateja atawapata wapi
Anakosea sana..
 
Mara kadhaa nimekushauri jifunze kufanya rendering, jifunze Sana ukishaiva ndio uanze kuomba kazi.
Tatizo una haraka sana, Sasa ona kwa michoro hiyo utapata wapi mteja?
Mkuu ili rendering itoe picha yenye quality nzuri inatakiwa na properties zipi. Hapa ndio nakwama nimejaribu mara kadhaa najikuta natoa picha yenye quality iliyo fifia.
 
Huyu jamaa kala laki5 yangu hapa. Nliiona sehem hii nikamwambia anitolee kama hii na yy ndo atasimamia kuhakikisha wajenzi wanajenga na mwonekano uwe kama huu

Mlamu, hiyo nyumba umeipendea nini hasa?
 
Unategemea kuweka attic? Kama watu wengine walivyokwisha comment, nadhani hii siyo design nzuri ingawa sijaona floor plan yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…