Modernization" of Girls

hehehe jana walikuwa wanaandamana kwenye sredi flani kwamba wanazalilishwa, wakiiona na hii nazani tutarajieni hunger straiki. dah!

we jana si uliniambia nikushtakie minjemba yote inayonionea.
Anza na sokomoko sasa. Au na wewe unafurahia?
 
yatawashinda.
ntakupa pilton ulale....krolokwn znakupoteza...
hehehe rose bana! jana wajanja wameiba jinzi yangu bana, yaani leo konsentreshen ni mgogoro kabisa. naomba hizo piliiton
 
Nyie dawa yenu inachemka.
Nyie subirini tu.
Acheni mara moja. Hii ni last warning.
 
we jana si uliniambia nikushtakie minjemba yote inayonionea.
Anza na sokomoko sasa. Au na wewe unafurahia?

Ana yake huyo ndio maana ameingia kwa gia hiyo lol
 
hehehe rose bana! jana wajanja wameiba jinzi yangu bana, yaani leo konsentreshen ni mgogoro kabisa. naomba hizo piliiton

haha hahaa ntakuletea kanga uvae usijali..na kitop kwa juu bas mpango kamili unajifanya mtu wa pwan.....
 
haha hahaa ntakuletea kanga uvae usijali..na kitop kwa juu bas mpango kamili unajifanya mtu wa pwan.....

Yale mambo yetu yaleeee "ya pwani" Mkuu angalia usijeonjeshwa mambo ya pwani ukajasahau kwetu bara....
 
nazani siku hiyo jukwaa la wakubwa litafurika
kamanda, nakuachia hii sredi uhakikishe haipotezi mwelekeo. Leo nina concert ya kuzindua albam langu jipya linaitwa "mchizi soksi", hakikisha husninyo, rose, preta,tracy n.k hawazalilishwi. nitajaribu kuwasiliana na katibukata aspirin pia aje kusaidia usimamizi wa haki zao.

klorokwini iz not richebo.....pliz liv ze meseji afta ze tone...........twiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…