Modernization" of Girls

Modernization" of Girls

Unajua nini Rose, kuna kitu ambacho wadada wa JF hamjakijua kwa wanaume wa JF, mkikijua haya yote yatabaki historia.

kitu gani hicho mnachokificha ficha.
Hebu semeni upesi tukijue.
 
Hehehehe unayajua lakini?
Maji mara moja kwisha kazi inaanza kuyageuza geuza unatia nyanya na vitunguu bila kusahau mafuta ya kulainishia

aaah....shem bwana....inaonekana wewe ni mpishi mzuri eeeh
 
Hehehehe unayajua lakini?
Maji mara moja kwisha kazi inaanza kuyageuza geuza unatia nyanya na vitunguu bila kusahau mafuta ya kulainishia


Mkuu na mafuta tena?
 
ndio mafuta..... na pia hutiwa tui la nazi

Hivi unajua hapa tunaongea lugha ya picha maharage yanayozungumziwa hapa sio ya sokoni! na ogopa maharage yanayozungumzwa hapa yakitumia na mafuta.

Tui la nazi ni wakati unayapika mwiko hutoa tui wenyewe si unajua miiko ya inayozungumziwa hapa sio ile ya chalinze....
 
tui la nazi latiwa maharage yakalibiapo kuiva.....unalimwagia kwa juu halafu unaliacha litokotee

Kunawengine tui la nazi humwagia pembeni ya sufuria sujui hufanya kusudi au mikono yao huwa inatetemeka wakati wa kulimimina?
 
mwone vleeeee...mtundu....

images
 
Jamani eeeh wapi Maty, Preta, Michelle, Lizzy, Dena Amsi, Bintimkongwe, shost na Digna37? maana kule kwenye maswala ya bikira walikuja juu sana sijui hapa watakuwa na mchango gani.
Nachukulia kama utani tu!Hadithi za mtaani hizi!
 
Back
Top Bottom