EUfundedtroll
Member
- Oct 30, 2014
- 14
- 13
This woman is my ideal woman
toka asubuhi natazama video zake
lakini wanawake kama hawa sijajua kwa nini huyu hakuingia kwenye public service kama baba yake
It's mighy be Nandos CHICKEN PERI PERI
Kama ulizani stori kama hizi jukwaa hili zitasomwa basi umepotea... kwanza cheki comment za watu... robo mstari, imezidi sana mitatu... ikifika minne hesabu ujumbe husika utaufahamu peke yako! Mwenyewe nimeishia ilipoandikwa Nyerere... nikajiuliza, Nyerere huku kaingiaje!!
Unajua kuna watu hawajui dhima ya majukwaa.Wao wanadhani majukwaa yote ni siasa.
Ni nani kwanza ?
Ni Modesta Mahiga, Modesta Mahiga, Modesta Mahiga...!
Nataka kujua kafanya nini? mwanamuziki, muigiyaji, mwanasiasa, daktari au....? kinachosababishwa ajadiriwe ni nini?