Modesta Lilian Mahiga


Mimi mwenyewe nimeuliza wananiambia ni google!!! tukianza kujadili watoto wa viongozi wote si tutakesha humu.
 
Huyu dada amesoma mbele siku moja niliwahi muona anahojiwa East Africa TV nafikiri kipindi cha wanawake live daahh ametisha shule nzuri na kampuni yake inafanya vizuri sana....
 
Huyu dada amesoma mbele siku moja niliwahi muona anahojiwa East Africa TV nafikiri kipindi cha wanawake live daahh ametisha shule nzuri na kampuni yake inafanya vizuri sana....

Yeah kuna siku alikuwa anahojiwa na joyce kiria.. mchapa kazi kaweza kutoa ajira kwa vijana, ame insipire watu wengine kujituma na kuwa wajasiliamali
 
Kwa bahati mbaya vibinti badala ya kujifunza au kuwa na role model kama wasichana hawa wanabaki kuiga kwa akina Wema, Mange and the likes.

Kibaya zaidi hata hawa wwnaojiita wasichana wasomi nao wapo kwenye mkumbo!!
 
mkuu wabongo wanapenda kuponda tuu sasa huyu dada yeye msafi sasa hawana cha kuongea, yaani wameshindwa ndoo maana wamejaa kwenye thread za akina daimond, penny na akina wema manji aaah sory mange
 
hahaha kwa hiyo aanzishe thread jukwaa la siasa?? Kati ya jukwa ambalo sijawahi ingia ni hilo la siasa
 
Huyu dada amesoma mbele siku moja niliwahi muona anahojiwa East Africa TV nafikiri kipindi cha wanawake live daahh ametisha shule nzuri na kampuni yake inafanya vizuri sana....
pia kafanya kazi Eatv mwaka fulani hivi sikumbuki
 
ukisema kioo cha jamii ndiyo hawa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…