Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Wana" ID zingine, hivyo wanashiriki michango.Mods sitak kuwaponda ila ingependeza zaid kama mngekua mnashiriki kwenye mijadala mbali mbali moto moto ya hapa jf eetii kwan nyie mpo busy sana participetin hata kidgo tuone michango yenu sio kupiga ban tuu haya peleken jukwaa LA utan[emoji41] [emoji106]
Mbona huwa wanachangiaga mkuu, kuna nyuzi yangu moja uyu mkuu JamiiForums alinipa mwongozo fulaniSure aje hata mmoja watuulize hata maisha ya huku yapoje hivi wao ni marobot [emoji38]
Huyu angalau hata nyuzi huwa anafungua fungua, zamani walikuwa wanajichanganya jukwaani, wanachangia mada nk. Siku hizi tutakuwa tunainteract nao kwa id zao ambazo hazijulikani kama ni mods.Huyo nae akuje
Nitamfata mod mmoja nimtongoze.Huyu angalau hata nyuzi huwa anafungua fungua, zamani walikuwa wanajichanganya jukwaani, wanachangia mada nk. Siku hizi tutakuwa tunainteract nao kwa id zao ambazo hazijulikani kama ni mods.
kwanza usinishushie hadhi mi sijapigwa ban..uzi wangu sikupi tunga wa kwako!
Ha haaaa au atanianika?Hahahaaaaa!! PTUUUUUU!
msahada=msaadaSawa mkuu, nilikua natoa msahada tuu hili usiwe samaki anaye tapatapa namaji yake mdomoni
Mimi hapa, haya anzisha mtongozo wakoNitamfata mod mmoja nimtongoze.
Teh... mtoa mada kashakula ban. KwaheriiiiMimi hapa, haya anzisha mtongozo wako
[emoji1] [emoji1] [emoji1] inaonyesha kutongoza ni moja hobby yakoNitamfata mod mmoja nimtongoze.
Ndio mkuu, inaleta hamasa maana mwanaume hajui kusema hapana[emoji1] [emoji1] [emoji1] inaonyesha kutongoza ni moja hobby yako
Haha ni kweli mwanaume hakatai hata iweje labda kama ana mapungufu kidogo kwenye kichwa cha chiniNdio mkuu, inaleta hamasa maana mwanaume hajui kusema hapana
Kumbe mnajijua vizuriHaha ni kweli mwanaume hakatai hata iweje labda kama ana mapungufu kidogo kwenye kichwa cha chini