aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Jana ametangaza nia ya kuinunua club ya simba sc hisa 51 kwa bilion 20 halafu mchana kaenda TFF kusajiri timu yake mpya MO FC
Huyu jamaa bana wakati anazungumza na wanahabari alisema eti aliziacha timu za Singida United na African Lion sabab hazina mashabiki,sasa iyo plan B yake ya MO FC nan ataishabikia?
Kwanini usinunue timu zenye base ya washabiki kama ashanti,coastal union ukaziendeleza huku zikitangaza biashara zako bil kubadirisha jina la timu maana hiyo MO FC haisound kabsa
Huyu jamaa bana wakati anazungumza na wanahabari alisema eti aliziacha timu za Singida United na African Lion sabab hazina mashabiki,sasa iyo plan B yake ya MO FC nan ataishabikia?
Kwanini usinunue timu zenye base ya washabiki kama ashanti,coastal union ukaziendeleza huku zikitangaza biashara zako bil kubadirisha jina la timu maana hiyo MO FC haisound kabsa