Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Katika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie