Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Ivi watu bado mnafauatilia mpira ccm Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF dah cheka balaa.Sababu hajatekwa
Siyo kila kitu uelewe mambo mengine yaache yakupiteKatika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
namtumtambulisha dadaangu Mkubwa kutoka Mombasa, nadhani MO alikuwa kawaka, kala vyomboIla mo sijui amedeka sana au hajui kiswahili vizuri mbona kama dish limecheza kidogo. Umshukuru samia bila sababu yoyote, uitambulishe familia yako nzima siku ya simba day! Vinahusiana vp, mi sijaona
Ni utamaduni tu wala kuumiza kichwa kujiuliza kamshukuru rais kwa kitu ganiKatika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
Ila majamaa kwa makafara hayajambo...Sababu mama samia hajanywa supu ya kafara
Uzi ufungweMradi yeye kashukuru na Rais Samia anafahamu kwanini kapewa shukran, tosha kabisa. Si lazima tujuwe mtu anatowa shukran za nini.
Tuwache umbea.
Offsetting ICD to railway businessKatika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
Kuna Mashamba yake fulani fulani yalichukuliwa na Mali zake kadhaa kuwa Hatarini hadi akaamua asiwe anakaa nchini na kuhamia Dubai mara Ufaransa na Uingereza, ila alipokubali Kuimba nao Nyimbo Moja na kuahidi kutoa Mchango wa Saidia Chama kishinde mwakani na Aliyemshukuru aendelee kuwepo ndipo Mambo yake yaliyowekewa Ugumu nayo Kulegezwa na sasa unaona hata Mwili unaanza kurudi, Nuru na Furaha vikionekana. Sitaki hapa Swali tafadhali.Katika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
Ukiwa ni mfanyabiashara, hutokea mara nyingi kupewa ahueni kwa msaada fulani wa Mkuuu wa nchi. Iwe kwenye manunuzi au kwa namna nyingine yoyote.Katika Hotuba yake aliyoitoa Kwenye kilele cha Simba Day, Bwana MO, Ameanza na kumshukuru Rais Samia, kwamba anamshukuru sana Rais Samia, tena kwa kurudia rusia mara kadhaa, hii ilikuwa kabla ya Rais kupiga simu.
Ni wazi kabisa kwamba , Kushukuru ni jambo Jema sana, Binadamu yeyote asiye na shukrani huyo ni sawa na mtu mfu.
Lakini ni vema shukrani hizo ziwe kwa sababu fulani, sasa unaposema tu kwamba Unamshukuru Rais Samia bila hata kusema Unamshukuru kwa jambo gani ni lazima tukushangae, na wakati mwingine tutadhani labda Unamshukuru kwa hii Pumzi tunayoipata, maana huwezi kumshukuru Binadamu hivihivi tu.
Labda kama kuna aliyesikia Rais anashukuriwa kwenye nini basi Atuambie
Aiseeee!Ukiwa ni mfanyabiashara, hutokea mara nyingi kupewa ahueni kwa msaada fulani wa Mkuuu wa nchi. Iwe kwenye manunuzi au kwa namna nyingine yoyote.
Kuna mwanasiasa mmoja maarufu ambaye pia ni mfanyabiashara, kwa kauli ya Rais aliweza kurejeshewa akaunti zake za benki na pesa zake zilizokuwa zikishikiliwa na TRA.
Pia, mwanasiasa huyo wa upinzani kwa kauli ya mkuu wa nchi, alilipwa madeni yake. Hoteli zake zilikuwa zikiidai taasisi ya serikali ya usafirishaji na awali aliwekewa ngumu kulipwa.
Hata yeye alikuwa akimshukuru na kumsifu mkuu wa nchi.
Ova