Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Oct 31, 2016 #21 Serikali nayo ina mambo ya ajabu sana.
BilioneaPATIGOO JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 12,320 Reaction score 11,327 Oct 31, 2016 #22 inamankusweke said: kuwepo si tatizo tatizo kuwa timu ya hovyohovyo yaani wa matopeni Click to expand... Nakwambiaje ...simba ilikuepo na itazidi kuwepo kwa miaka mingi ijayo mtazaliwa mtakufa mtaiacha ...
inamankusweke said: kuwepo si tatizo tatizo kuwa timu ya hovyohovyo yaani wa matopeni Click to expand... Nakwambiaje ...simba ilikuepo na itazidi kuwepo kwa miaka mingi ijayo mtazaliwa mtakufa mtaiacha ...
Nondoh JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 298 Reaction score 478 Nov 1, 2016 #23 alley omar said: hapo ndio mnyama atakapo fungua matawi na kufika mbali zaid kuliko kuendesha timu kwa kutawaliwa na wageni uhuru maanake nn Click to expand... Toka lini masikini akawa huru? Hayo matawi kwa zaidi ya miaka 80 walikuwa wapi?
alley omar said: hapo ndio mnyama atakapo fungua matawi na kufika mbali zaid kuliko kuendesha timu kwa kutawaliwa na wageni uhuru maanake nn Click to expand... Toka lini masikini akawa huru? Hayo matawi kwa zaidi ya miaka 80 walikuwa wapi?