Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambiaje ...simba ilikuepo na itazidi kuwepo kwa miaka mingi ijayo mtazaliwa mtakufa mtaiacha ...kuwepo si tatizo tatizo kuwa timu ya hovyohovyo yaani wa matopeni
Toka lini masikini akawa huru? Hayo matawi kwa zaidi ya miaka 80 walikuwa wapi?hapo ndio mnyama atakapo fungua matawi na kufika mbali zaid kuliko kuendesha timu kwa kutawaliwa na wageni uhuru maanake nn