hhhhj
Member
- Oct 5, 2016
- 41
- 68
BREAKING NEWS
Hatimae mohamed dewji(mo) amekubali kuiacha simba ijiendeshe yenyewe ili kutimiza agizo la baraza la michezo....
Hata hivyo itawabidi ungozi wa simba kuitisha mkutano maalumu wa katiba ili kuruhusu mfumo huo utambulike rasmi katika katiba yao.Pamoja na hayo timu itaendelea kuwa chini ya uongozi wa raisi aveva mpaka hapo itakapo kaa vizuri ili timu irudishwe tena kwa mo
Sourse:mwanaspoti
Hatimae mohamed dewji(mo) amekubali kuiacha simba ijiendeshe yenyewe ili kutimiza agizo la baraza la michezo....
Hata hivyo itawabidi ungozi wa simba kuitisha mkutano maalumu wa katiba ili kuruhusu mfumo huo utambulike rasmi katika katiba yao.Pamoja na hayo timu itaendelea kuwa chini ya uongozi wa raisi aveva mpaka hapo itakapo kaa vizuri ili timu irudishwe tena kwa mo
Sourse:mwanaspoti