King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Jiwe abadili Director wa movies zake maana DAB muvi zake zote zinafeli na zinaacha alama kibao za uhusika wao.Hii sentensi ina ukweli mkubwa ,maigizo matupu
javascript:;Polisi ndio hao
Wakat ufike mara ngapNi ngumu sana akili ndogo kuongoza akili kubwa. Na wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi.
Hili jambo lina ukakasi sana, sijajua polisi wetu wanafanyaje kazi; nadhani kama polisi wangekuwa serious na kuwapata watekaji kama wanavyojinasibu basi starting point ilikuwa ni kuanza na option hiyo.Haswaaaaaaa
Hata mimi nimejiuliza hili swali.
Vipi wamwachie kurejea nyumbani bila ya kumshikilia ili atoe maelezo yake rasmi kwa mamlaka ya dola ili kusaidia kupatikana kwa hao maharamia???
Itakuwa alikuwa mitaa hiyo hiyo ya JiraniGari iliyomteka MO imepita kituo cha salenda ikapita jengo la UWT ikakatiza Agakhan ikapita kituo cha polisi cha agakhan ikenda kumtupa gymkhana na wakaliacha gari hapo hapo na hao WAZUNGU wanaoongea KIZULU wanaotokea MSUMBIJI wakatokomea halafu mnasema nchi ina ulinzi wa kutosha na mpo vizuri.
WAZUNGU wanaoongea KIZULU wanaotokea MSUMBIJI wameitelekeza gari GYMKHANA karibu na IKULU.Gari ilikua imepaki pale kwa jiwe yani sinema imeishia magogoni
Mipaka ilifungwa na ulinzi ulikuwa wa Kutosha.Gari iliyomteka MO imepita kituo cha salenda ikapita jengo la UWT ikakatiza Agakhan ikapita kituo cha polisi cha agakhan ikenda kumtupa gymkhana na wakaliacha gari hapo hapo na hao WAZUNGU wanaoongea KIZULU wanaotokea MSUMBIJI wakatokomea halafu mnasema nchi ina ulinzi wa kutosha na mpo vizuri.
Waache uhuni Wa kishamba watueleze ukweli.Mambosasa: Taarifa siku ya tukio,waliomteka Mo ni wazungu wawili
IGP: waliomteka Mo walikuwa na gari la nchi jirani ila hakulitaja,ila wataalamu wa kufuatilia lile gari walisema ni la Msumbiji
Mo amepatikana Dar es salaam lakin si Msumbiji, wala Afrika Kusini
Baada ya kupatikana:Mambosasa: waliomteka Mo walikuwa wasouth Afrika ,walikuwa wanaongea kilugha
Unaweza ukajiuliza maswali hapa ,kichwa kikaota upara bila kupenda
Ni Muumba wake pamoja na Kodi anayolipa!Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?