Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Inaelekea kile chombo kilichoripotiwa na nyumbu kikizamia bahari ya Hindi kilipats pancha imebidi wamrudishe tu.Ila IGP sasa mjifunze , kutoa taarifa za upelelezi inasaidia, sasa lile gari halina mwenyewe nalo,litatelekezwa parking ya NSSF.