Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Sipendi hii tabia yao wanatekwa sie huku tunawaombea usiku na mchana ili wapatikane ...lakini hawatuelezii kilichowasibu
 
Mbona Mungu ametupa uwezo wote ila hatutaki kuutumia?
Mkuu nimekasirika sana. Jiwe anataka watanzania waishi kama wako shimoni! Wamemkamata Mo wakamuweka pale makumbusho huku wakiwaacha wenzio kwenye taharuki
 
Mkuu paskali umeona clip ya hiyo gari iliyotelekezwa?yani full comedy gari ya jana tuliyoonyeshwa na igp na hii ni tofauti,ile ya jana inabeba spare tyre kwenye mlango wa nyuma.hii haina hata chuma ya kubeba spare tyre kwahiyo comedy za jiwe za chattle kabisa yani full upumbavu.
Hiyo gari namba mbele haina halafu namba ya nyumba wameweka ya kuchora ya tz,kweli aibu iliyopata jiwe jana na leo lazima apate stress hata kama hana mshipa wa aibu
 
Hapo kwenye gari mkuu haukuelewa vzr story!! Gari ilivuka mpaka kuingia Tanzania tarehe 1/septemba/2018 na sio ilivuka mpaka kutoka. NA INGEWEZEKANA VIPI ITOKE WAKATI TAARIFA ZA AWALI TU NI KUFUNGA MIPAKA?? TOYOTA SURF INGERUHUSIWA VIPI KUVUKA?????
 
Baada ya ile Press ya Zirro, kumrudisha was a matter of time. Ila sikutegemea fasta hivyo. Movie imeisha na Hakuna foreigners watakaokamatwa bcoz it was an ...side job
 
Katika utawala kuna mambo amabayo ni formal na ambayo ni informal.
Pia Inchi inaongozwa Kisheria na Kikatiba ambvyo vyote havimhukumu mtu kwa kuzingatia ukweli (truth) mbali kwa kuzingatia ushahidi uliothibitishwa (facts).
Kwa hiyo tulitazame jambo hili kisheria zaidi na kikatiba.
Tulete facts.
Mambo ya truth tupeleke makanisani na misikitini na yabaki kwenye imani zetu.
 
Kuna baadhi ya Movies hasa za hollywood, kuna mafundisho mengi sana ya matukio kama haya. Ukiangalia bila wenge utaona mtekwaji bado yupo chini ya ulinzi, kwa hiyo ongeaji yake hata macho hawezi kunyayua kuwatazama hao alio nao. Maana yake anayamoyoni mengi mengi anataka kulipuka lakini woga umemjaa. Usiombe yakufike
 
Pongezi ni kwa wote waliolipigia kelele swala hili mpaka Mo kupatikana.
 
Kama Sirro angeleta mizoga ya watekaji hao tungesema kazi imefanyika kwa hio bakhresa ajifungie kabatini kwa sababu wale makaburu wakizimaliza za,Mo Energy wanakujapizipitia za Azam energy
Hawezi kuleta mizoga ya jiwe na ya mungu wa darisalama
 
Mo dewji amepatikana leo alfajiri tunashukuru Mungu kwa kuwa ni mzima wa afya.Rai yangu Mo kapatikana kutokana na maombi ya watanzania wote, wa dini zote.familia ya MO waitoe hiyo B1 kama asante kwa Mungu na shukrani kwa watanzania kwa kuwa nao bega kwa bega ktk kumsaka Mo.
 
Hakuna chochote kilichotolewa upepo uliopimwa Jana na mkubwa kabisa wa geshi haukufanikiwa maana kama alichochoea moto wadanganyika wamegoma kudanganyika joto likapanda Zitto alisema Yule mkubwa alikuwa anajua MO alipo
Kama kuna Ransom ilitolewa kuna haja gani ya kupongezana ilhaili watekaji wacko huru wanagida vinnywaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…