Jipeni pole wiki hii kuna uwezekano kusiwe na tukio la kudandia. Mnazidi kupotea, akili ikija wakaa sawa 2020 oktoba iko kwenye kona.
Your brain might be full of this[emoji218] [emoji218] [emoji218] [emoji218] . Maana hats mada isiyo husiana na uvyama utacomment kichama chama.Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
Mbona hajasema hivyo, acheni uongo jamani
Ulitaka wamshukuru Mbowe au Lema?Familia ya Mo Dewji na Mo mwenyewe wanarudiarudia sana "kumshukuru" Magufuli kwa kupatikana kwa Mo...hivi kwa kumbukumbu tu, Magufuli amefanya kitu gani hasa kusaidia kupatikana kwa Mo? Au ndo namna yao ya kutueleza kuwa hatma ya uhai wa Mo ilitegemea hasa HISANI ya Rais?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Alizani Mo ata lopoka kuwa muliniteka nyinyi
Anaweza pia akaisaidia polisi kwa kujipitisha aonekane katoa msaada kumbe ni muhusika, mahabusu inamsubiri.Taarifa toka kwa wanyetishaji ni kuwa kuna jamaa alikuwa anapita ndio Mo akaweza pata msaada wa simu apige nyumbani.
Jamaa yawezekana akapewa mzigo wake, yawezekana ukawa sio wote ila salio lake litaongezeka EXPONENTIALLY.
Au ndo namna yao ya kutueleza kuwa hatma ya uhai wa Mo ilitegemea hasa HISANI ya Rais?
Kauli ya kumshukuru tu mheshimiwa rais mm ndo inanipa shida sana aisee,
Kwann amshukuru rais? Wakati watekaji walimchukua na wamemwachia bila nguvu yeyote kutumika
Shukrani kwa raisi ni za nn hasa?
Yaani hauamini kuwa Afrika Kusini kuna baadhi ya raia wake ni wazungu ?wanasema ni watu wa South Africa
Vipi ile ya Lema pale makao makuu, au kaingia mitini?Kuna Press leo saa 8 mchana ya Sirro i think tutasikia mengine tusiyoyajua.
Dili limegoma waswahili husema walivyodhani ndivyo sivyo.Unataka kutuambia waliomteka kabla yakufanya hivyo hawakutingisha Dishi pale jumba jeupe? namba moja anavyopenda kutukuzwa ingekuwa hakushirikishwa B4 hata jua lisingezama angeshapatikana na TV zote zingekuwa live akionekana kuliongelea jambo hilo
MO SALAH WALAH NIMECHEKA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani maskini kijana wa watu siku 7 tuu nywele zimeshaotaa kawa kama mohamed salah. Ila ipo siku mtaumbuka vibaya na kifo chenu ninyi watu watekaji kitakua cha aibu