Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Du afadhali! sasa tunategemea manunuzi ya wapinzani yataendelea, dalili zinaonyesha wamempa Jiwe na Bashite wanachotaka.
 
Nashauri hawa watekaji watumie makampuni makubwa ya hollywood kuandika script na kutengeneza movie zao maana haya ya hapa Rj,jerusalem,mtitu film,sultan tamba,Gambo zagamba n.k wamewaangusha..!
Wewe mtekaji anasahau plate namba kwenye gari? Si ni sawa na jambazi anaenda kuvamia nyumba anafika anavua viatu mlangoni..![emoji16][emoji23]
 
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!

Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?

Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA

Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Acha vijana wa Ufipa waendelee kuwatukuza vichaa wenzao mkuu, acha waendelee kupiga siasa kwenye maisha ya watu maana sera hawana tena, acha waendelee kupoteza nyakati kwenye mambo ya kitaalam ambayo hawayajui na hawataki kuambiwa hawajui
 
“Namshukuru Mungu nimemkuta Mo akiwa salama na haraka nilimpeleka nyumbani lakini tumemkuta ana majeraha kidogo ila jambo la kushukuru ni kwamba yuko hai,” amesema Gullam.
 
Ile press ya jana ilikuwa na viashiria kama vile Mo yupo around.

Pia wapambe wa Bashite leo walipgopa kwenda Disco akina Le mutuz alijua leo ni weekend na hupenda kuzurula usiku kwenye kumbi za Disco na bar akajua ataulizwa alipo MO ndipo wakakurupuka na kumwachia free ili wapate kula bata bila kwere, lakini tunawaomba watanzania popote wamuonapo Le mutuz wamzomee na kumnyoshea vidole mpaka apatee kujua kuwa watanzania wamechoka na unyama wao.
 
Mzuqaaaa!

Anajulikana mwamba wa kaskazini akitamka kitu kinatetemesha laana siyo mwengine bali
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
GODBLESS JONATHAN LEMA

Ilibidi wasande maamae jamaa aliposema leo ataitisha press. Wakakaa nakuafikia nakukubaliana wamtoe faster Mo wetu kabla Mic lukuki za kitaifa na kimataifa zikimzunguka meza idpokua za tbc.

Walishapiga mahesabu hapa hii press ya pili ya mwamba wa kaskazini itatuweka pabaya kwasababu zile nondo na madini Godlesa angeshusha.

Hakuna kuwachekeachekea tena.

Mods pleaseaaa msiunganishe uz wangu
Acha bangiwisho utavua nguo
 
Naona wajinga tunapoteza muda kujadili kitu ambacho hatuwezi kuleta effect yoyote

HILI NALO LITAPITA TU
 
Nashauri hawa watekaji watumie makampuni makubwa ya hollywood kuandika script na kutengeneza movie zao maana haya ya hapa Rj,jerusalem,mtitu film,sultan tamba,Gambo zagamba n.k wamewaangusha..!
Wewe mtekaji anasahau plate namba kwenye gari? Si ni sawa na jambazi anaenda kuvamia nyumba anafika anavua viatu mlangoni..![emoji16][emoji23]

Watengeneza Movie ni Kubwa jinga Le mutuz, Msiba na boss wao Bashite watu wasiojielewa unategemea nini?
 
Naona wajinga tunapoteza muda kujadili kitu ambacho hatuwezi kuleta effect yoyote

HILI NALO LITAPITA TU

Tujadili ili hao watekaji wajue kuwa watanzania hawataki tena Sinema za kihindi wanataka viwanda na maendeleo pekee.
 
Hii ndio taarifa yake fupi .

Instagram media - BpJPnaLF0dp.jpg
 
Wasiojulikana Bullshit hakuna kitu kama hicho hawa wahuni ni mamluki kutoka ( polisi TISS na JWTZ ) = genge la bashite , walijuaje kama amerudishwa na gari lilelile lililomteka ? , yaani walishatuona wabongo sisi ni mazwazwa ,shenzi sana
 
Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania Tanzania
 
Back
Top Bottom