Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata jina Ufipa hawaanzi na herufi ndogo. Moja ya kigezo cha kujua akili ya mtu ni uandishi.Kama nawe una akili kubwa basi kuna majanga ufipa.
Hivi huyu waziri alivyotekwa tu alikuwa wa kwanza kutuambia kaongea na babake, leo usiku huu ni yeye kawa wa kwanza kutuambia kaongea nae! Mo hakuwa kwa mjomba wake ati yuko nyumbani kwake salama! Alitakiwa awe kituo cha police kuisaidia maelezo, then hosipitali then jeshi lireport yuko salama. Huwezi kutoweka, au kotoweshwa then ukarudi au kurudishwa nyumbani ikaishia hapo. Ngoja kukuche.
WanaFISIEM walikuwa kimya!!!, Wanajua matukio haya yanapangwa wapi, si katibu mkuu si mwenezi aliyesema neno, wote waliufyata mkia.Jipeni pole wiki hii kuna uwezekano kusiwe na tukio la kudandia. Mnazidi kupotea, akili ikija wakaa sawa 2020 oktoba iko kwenye kona.
We msenge bangi alivuta mama yako na baba yako ndo maana wakazaa punga kama wewe , nyang'au mkubwa weweVijana bangi mnavutiaga chooni au mtoni, kila kitu mnajua na ndio maana mmeishia kuwa mahohehahe maana mnahangaika na msiyoyajua wala kuw na ufaham nayo
Nikionagq hivi huwa najua tu mtu kaishiwa hoja,asubuhi njema!Huna clue ya unachotetea wewe.
Mkuu usiumize kichwa kwa maswali,aliyemteka MO wanajulikana ni WAzungu wanaoongea kizulu wanatokea Msumbiji walitumia gari lenye namba AGX MCImebainika kuwa watekaji wa MO walikuwa wakimlazimisha kula pale alipokataa kula na walimpa kila alichohitaji, pia imebainika kuwa watekaji hao walikuwa wakihitaji fedha kutoka katika familia yake! Hayo ni kwa mujibu wa kamanda Mambosasa alipokuwa akitoa taarifa mara baada ya MO kuwaeleza kilichomsibu!
Haijulikani ni kiasi gani hao watekaji walihitaji na pia bado haijabainika kama endapo familia ya MO imetoa fedha hizo au la!
Mytake;Hili suala la MO bado nyuma yake kuna kiza kinene na kwa hili hao "wasiojulikana" wasipowekwa wazi mbele ya umma basi ni dhahiri kuwa wataendelea kuwa na kiburi na kutekeleza matendo ya kiuhalifu zaidi! Ni vyema hili genge likasambaratishwa ili watu waweze kufanya shughuli zao bila kuwa na hofu! Hatujui ni nani atafuata na atafanywa nini...
Kuñeshaharibika tayari na rogue element hawakujua impact yake hawa vilaza.Tweet ya 03.46 October 20 aisee Mungu ibariki Tanzania waovu washindwe kwa jina lake muumba wa mbingu na nchi mana kutoweka kwa Mo kulikuwa kunaenda kuharibu taswira ya Tanzania kimataifa
Matola bhan.. Una kuwa km sio msomi, sasa hapo Mungu katajwa wapi?Mungu hausiki katika hili, acheni kumshirikisha Mungu kwa vitu vya kishamba.
Ungekuwa na hoja hata chembe nikukujibu. Lakini naona unakariri kama nyumbu kufuata mkumbo!Nikionagq hivi huwa najua tu mtu kaishiwa hoja,asubuhi njema!