Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mbona mnatumia nguvu nyingi kukwepesha ukweli...

Lakini sio mbaya tumewachukulia kama hadithi za kaluma kenge alikataa kwenda shule!! Watz sio wajinga kiasi hicho
 
Hahahaaaa bro naona analazimisha awe na kesi lakini wapi yan mi nawaombeni polisi huyu jamaa wa arusha anelazimisha kukamatwa ili na yeye atengeneze vichwa vya habari.kwenye magazeti baada ya kupotea muda mrefu nyie mmkwepeni hata akija kituoni muachieni kituo nyie ondokeni hahahaa maana analazimisha kesi, unajua mugabe kawaambia wabunge wake wote kua kila mmoja lazima ajitahidi ili awe na kesi hata mahakamani ndio sera yao waliozindua juzi..sasa bro hakuna wa kukukamata
 
Sijui niandike nini, ila kuna siku haya mambo yatawekwa wazi tena uchi kabisa wa mnyama, hapo ndipo sote tutabaki vinywa wazi mwaka mzima.
 
Mbona mnatumia nguvu nyingi kukwepesha ukweli...

Lakini sio mbaya tumewachukulia kama hadithi za kaluma kenge alikataa kwenda shule!! Watz sio wajinga kiasi hicho
Kama mtanzania anamegewa mke kisha anasema ni chuki za kisiasa basi nafikiri ni wajinga kiasi hicho lakini ukweli ni kwamba kwenye swala la MO sijaona Siasa ninachoona ni watu wanaomchukia MO ambao walitaka kufanya tukio then likaenda out of control ikabidi wasepe msala
 
Labda kwanza tungefahamu bidhaa ambazo MO ameanza kuzitengeneza hapahapa Dar hivi karibuni.

Tukifahamu bidhaa hizo ndipo tutaweza kugundua nani ni mshindani wake wa ndani au nje.
 
Mkuu hivi unajua maana ya facts ? unless otherwise wewe ni mtekaji, mtekwa au una mahusiano yoyote ya karibu na hao ni vigumu kuleta facts.... zote zitakuwa assumptions ambazo huenda ni za kweli au sio za kweli
 
Labda kwanza tungefahamu bidhaa ambazo MO ameanza kuzitengeneza hapahapa Dar hivi karibuni.

Tukifahamu bidhaa hizo ndipo tutaweza kugundua nani ni mshindani wake wa ndani au nje.

Naona mada yako ime...fyekelwa mbali imeunganishwa na mada kuu.
 
Hongera jeshi la polisi kwa Mo kupatika mzima na wa afya,wafanyabiashara wote waliopiga dili kipindi ubinafsishaji ulipoanza wajichunge sana.
 

Hii issue nzima nimeikalia kimya mpaka wakati nitakaoona ni sahihi ila umeongea point ya MUHIMU SANA ambayo wengi hawajaitambua.
 
Kila mtu mwenye akili timam ana maswali mengi kuliko majibu yanayotolewa na waigizaji.


Hii sinema tunaoweza kuielewa ni wale ambao tulikuwa tunaangalia Andha Kanoon Avalon bila "subtile" na tulikuwa tunaielewa toka mwanzo mpaka mwisho.
 
Hii sinema tunaoweza kuielewa ni wale ambao tulikuwa tunaangalia Andha Kanoon Avalon bila "subtile" na tulikuwa tunaielewa toka mwanzo mpaka mwisho.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pamoja mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…