Kizito Dickson
Senior Member
- Sep 24, 2018
- 174
- 209
Nawasubiri watu ambao hata wakiibiwa wake zao wanadai ni chuki za kisiasa wakati wao ni viba100Ngoja waje mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawasubiri watu ambao hata wakiibiwa wake zao wanadai ni chuki za kisiasa wakati wao ni viba100Ngoja waje mkuu
Sisi tumekupuuza Wewe na huu uharo wakoLema unajipendekeza tu wala hamna atakayekusikiliza.
Tokea useme ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa alafu baadae wewe mwenyewe tena ukawa mbeba viatu wa Lowasa tulishakupuuza
HahahaaaaNawasubiri watu ambao hata wakiibiwa wake zao wanadai ni chuki za kisiasa wakati wao ni viba100
View attachment 904925
Imani kwa vyombo vya usalama inajengwa na haki .Ushujaa sio kutoa amri bali ni uwezo wa kubeba kweli,haki na uadilifu ktk wajibu.Suala la Mo kutekwa mpaka kupatikana limejaa wasiwasi.Kama MB nitaongea na niko tiyari kulipa gharama kwani mambo haya yakiendelea ni hatari kwa Nchi.
Hahahaaa ndio kilichobaki tuvunje kambi tukapumzikeSawa mkuu. kwa hiyo ameshapatikana BASI. Kila mtu asambaratike?
Lema dishi limeyumba.
But in this case politics is totally out of equation...Mo alitekwa kibiashara na the whole issue ilijengwa na watu wa nchi amabzo wafanya biashara wake walikuwa na market share kubwa katika bidhaa ambazo mo ameanza kuzizalishaVyote vya wezekana hata politics is a business
Wamemuokota akiwa salama nyumbani kwake eti ee?Lema akubali tu mwamba Polisi chini ya IGP Sirro wamefanikiwa kwenye operesheni "saka mzungu" na MO amepatikana akiwa hai.
Usitegemee pointi yoyote ya maana kutoka kwa huyo mdudu.Acha kuongea kidemu demu wewe "walahi" ndio nini af umekaa kishabiki sana bila point ya maana