nyie watu maneno mengi mkiambiwa muwalipe wachezaji mshahara mzuri mnaingia mitini...timu haina pesa za kusajili kama mnaipenda simba toeni pesa zenu msajili wachezaji wa maana basi...muacheni MO ainunue timu ifanye vizuriWala hatoi hizo billion 20 kwenye Club moja kwa moja. Eti watanunua hatifungani (sijui za muda gani). Ule mtaji utabaki kuwa wa kwake na atakuwa na gawio la 51% kwenye faida ya hizo hatifungani.
Hivi nani kafanya valuation ya assets za Simba kujua thamani yake hadi afikie kusema ananunua hisa 51% kwa billion 20? Something very fishy somewhere. Kesho kutwa anaweza kuamua kuuza hisa zake kwa thamani halisi maana wakati huo tofauti na sasa, itakuwa inajulikana!
Only time will tell.