Mohamed Dewji Tsh 20 bilioni naweza kununua timu Ulaya

Kununua team ya daraja LA pili inawezekana kwenye baadhi ya nchi ulaya na kuwekeza Tanzania kwenye Moira wetu in ngumu kidogo kupata faida kwa mda ambao yeye atataka
 
Huyo mo kwann asiwekeze kwenye team yake african lyon anahangaika na simba ya nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…