Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kununua team ya daraja LA pili inawezekana kwenye baadhi ya nchi ulaya na kuwekeza Tanzania kwenye Moira wetu in ngumu kidogo kupata faida kwa mda ambao yeye atataka![]()
Leo Jumatatu, Agosti,1 mfanyabiashara bilionea Mohamed Dewji alikuwa na mkutano na waandishi wa habari, akasema uwekezaji wa 20 bilioni anaotaka kuufanya angeweza kununua timu Ulaya ya daraja la pili lakini anafanya sababu ya mapenzi yake kwa timu ya Simba.
Pia akakosoa shutumia alizotupiwa na viongozi wa Simba na kusema ameshakutana zaidi ya mara tatu na rais wa Simba na ameshakuja ofisini kwake zaidi ya mara tatu.
Inawezekana. Inategemea nchi gani.$10mil hupati Timu ya daraja la pili