bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Mbona bakhresa kaanzisha yake azam, na yeye akaanzishe ya kwakeUsije ukafikiri niliteleza au sikukuelewa. Wenye timu si wanaona wanajimudu? Kinamshinda nini Mo kununua isiyojimudu kama nia yake ni mpira wa Tanzania kukua? Mimi nilikujibu kwa muktadha wa why Simba.
Yeye aseme ana agenda gani. Kama ni timu ziko nyingi tu akanunue aoneshe namna fedha zake zinavyoweza kuleta mabadiliko.