Mohamed Hussein na Shomari Kapombe hawajui kurusha Mpira kwa haraka?

Mohamed Hussein na Shomari Kapombe hawajui kurusha Mpira kwa haraka?

Afadhali ya Kapombe Ila Mohamed Husein anajizungisha Sana kurusha mpira mpaka timu pinzani wajipange.
Kabisa. Ingawa Kapombe ni nafuu kuliko Hussein, lakini wote wanapoteza muda sana na kuwafanya wapinzani wajipange.

Nitaanza kutunza muda watakaokuwa wanapoteza wakiwa na Mpira na Taathira yake kwa timu ya Simba.
 
Na hii hapa ndio iliopelekea kule south na Orlando sijui ilikua kaizer wale walio tupigʻa 4 rudia ile mech wapinzani wako mbal kapombe anatetemeka mpka wanJipNga hebu kwa hili tuwape yanga maua yao wako too extra sharp bila hata mpizani kujiandaa
 
Back
Top Bottom