Mohamed Hussein transfer update🔴

Mohamed Hussein transfer update🔴

Nyinyi ndio mnaofanya washabiki wa kweli Yanga SC tuonekane hovyo
Hakukuwa na sababu kuleta mambo yasiyohusiana na mada pendekezwa,mada inahusu usajili unaomuhusu Tshabalala wewe umekuja na mada yako ya umri wa kina mauya sijui baleke....
Dah tuna safari ndefu sana.
Ukiitwa mpumbavu unachukia angalia nlicho comment na alie leta habari za Mayele! S!***
 
Unajua Marumo Gallants ni muunganiko wa maveterani waliokuwa wanaenda kustaafu. Wao wamechukua shortcut kama ya Yanga iliyokusanya wazoefu wa AS Vita ili kufikia mafanikio kwa haraka.

Hii ndiyo moja ya sababu ya kwa nini Marumo hawafanyi vizuri katika ligi yao maana wachezaji wao hawana stamina ya kupambana katika mashindano mengi kwa wakati mmoja wakaona wafocus kwenye shirikisho.
Logic yako ni nini hasa umri au shortcut?
 
Mbegu amesajiliwa Simba???kijana yupo vizuri ila kwa level za zimbwejr bado sana ana mengi ya kujifunza
Uwezo wake wa kutumia miguu yote miwili inatosha mimi kumpa nafasi Mbegu sasa hivi pale Simba. Zimbwe alikuwa anaicost sana Simba mipira mingi alikuwa anapoteza, hili tumelijadili sana siku za nyuma.

Nadhani toka gemu za Vipers, Robertinho alimpunguzia majukumu uwanjani na hii ilipunguza sana makosa yake. Toka gemu za Vipers ni jana kwenye mechi ya Ruvu ndiyo nimeona yule Zimbwe wa kipindi cha nyuma anayepanda na kushuka amerudi. Kuna wakati jana hadi aliswitch na Onyango akawa anacheza kati. Labda ndiyo kupambania mkataba mpya.

Ninachoona Mbegu anapungukiwa ni kimo tu, angekuwa mrefu kama Lomalisa au Kapombe ingekuwa poa zaidi.
 
Kijana anaitwa Mbegu full back left ya Ihefu ndio imemkimbiza Shabalala Simba. Tokea huyo Dogo asaini mkataba Simba. Wekundu wa Msimbazi wememfungia vioo Shabalala. Labda aende huko South.
Tokea nianze kuangalia mpira sijawahi muona beki ya kushoto yenye uwezo kama Tshabalala.

Huyo mdogo bado sana ana mengi ya kjjifunza kwa Tshabalala msimvimbishe kichwa. Hata kwa msimu huu kwa beki ya kushoto yy ndiye bora.
 
Tokea nianze kuangalia mpira sijawahi muona beki ya kushoto yenye uwezo kama Tshabalala.

Huyo mdogo bado sana ana mengi ya kjjifunza kwa Tshabalala msimvimbishe kichwa. Hata kwa msimu huu kwa beki ya kushoto yy ndiye bora.
Huwajui wabongo walivyo much know....


Upande ule walikuja raia wa ndani na nje hakuna aliyeweza kumtoa Tshabalala katika nafasi ile,jamaa ana uwezo mkubwa the same to Shomari Kapombe
 
Huu ni ujanza wa wakala wake Simba watafute wachezaji waache uvivu au kupiga deal kuna mabeki wazuri hata milioni 50 hawafiki
 
Back
Top Bottom