Mohamed Hussein Tshabalala

Hapo umeruka sehemu moja alitokea simba B kabla hajaenda kagera. Simba walifanya kumrudisha tu nyumbani
Zimbwe hakuwai kuwa simba B, alikuwa Azam academy baadae stewart hall akamtema, akarudi Friends Rangers ya manzese baadae herry Mzozo akampeleka kagera sugar ila umri mdogo na majeruhi hakakosa namba, ila awashukuru wakina Kaburu,hanspope,herry mzozo waliamua kumchukua for future simba generation 2014 maana wakati wa usajili alikuwa chaguo la tatu baada ya abdi banda, baba ubaya mpaka leo Zimbwe ni bonge la mchezaji
 
maisha ni kuvumilia. fikiria mtu ameanza kucheza 2014 unakuja kutoka miaka ya 2020s
 
Kwenye umri mdogo na majeraha zilimfanya asicheze kagera, umeonesha umjui Tshabalala, Tafuta vzri historia yake
 
Hahahaha
 
Yaani atoke simba aje yanga?
🤣🤣🤣🤣
 
Ma jamaa inaonekana ni simba damu maana hata akiongea ni full passion na simba
 
Yanga hatutaki mashosti huku
 
Umenena ukweli. Hii historia aliitoaga yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…