The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Sheilkh Mohamed Issa amesema hivyo au unamsingizia?Akizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .
BBC waache kuhoji watu waliokunywa vilevi.Udini umemjaa hadi kwenye kope bila hata kujali uhai wa watu.Akizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .
Wana jitahidi kuhamisha magoli.
Sawa kauliwa na chadema tuseme.
Kabla ya kuuliwa inaonekana alikiwa anafuatiliwa kwa simu.wekeni mawasiliano yake ya mwisho
kibao alitekwa kwenye maeneo gani?Wakati tukiwa Chadema tulikuwa tunatekana ili kupata ruhuma ,Dk Slaa
USSR
Akizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .
Uchambuzi wa kijinga kabisa. Hata hawezi kukumbuka ni nani anao wajibu wa kuchunguza na kubaini hao wapinzani wanao teka watu.Akizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
Ingia kwenye mitandao fuatilia hayo mahojiano. Nimsingizie ili nipate faida gani sasaSheilkh Mohamed Issa amesema hivyo au unamsingizia?
Sasa hivi anayakana haya maneno
Ingekuwa wapinzani wanatekana basi utekaji ungeshaisha siku nyingiAkizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .
Ndicho na Rais amefanyaAkizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .