Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kaongea upuuzi mtupuAkizungumza na BBC mchambuzi wa mambo ya kisiasa ndugu Mohamed Issa amesema kuinyoshea serikali pekee kwenye mambo ya kupotea na kutekwa kwa watu sio sawa kwani hata vyama vya upinzani huwa vinafanya hayo matukio kama matokeo ya kutofautiana wao kwa wao.
My take
Hivi inawezekana kweli kwa Tanzania yetu chama cha upinzani kikafanya mauaji kama Yale ya kibao!? Ukizingatia mheshimiwa rais alijisifu kwamba intelejensia ya Tanzania ni kubwa sana .