Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliNamuona huyu waziri angalau ukilinganisha na wengineo, yeye anaonekana ana haiba ya uongozi, hana longolongo nyingi sana maneno kidogo vitendo vingi, kama akiendelea na hii kasi yake.
Namuona kabisa 2030 Chama cha Mapinduzi wakimsimamisha kama mgombea wa Urais na mimi nitampigia kura.
Binafsi kama mtumishi nimeridhishwa na utendaji wake.
Karibuni kwa hoja.
Kuna KENGE mwingine niliwahi kumsikia,hayo kweli ni mawazo ya KIKENGE ya KENGE 🤔🤔😅😅🤸Namuona huyu waziri angalau ukilinganisha na wengineo, yeye anaonekana ana haiba ya uongozi, hana longolongo nyingi sana maneno kidogo vitendo vingi, kama akiendelea na hii kasi yake.
Namuona kabisa 2030 Chama cha Mapinduzi wakimsimamisha kama mgombea wa Urais na mimi nitampigia kura.
Binafsi kama mtumishi nimeridhishwa na utendaji wake.
Karibuni kwa hoja.
Namuona huyu waziri angalau ukilinganisha na wengineo, yeye anaonekana ana haiba ya uongozi, hana longolongo nyingi sana maneno kidogo vitendo vingi, kama akiendelea na hii kasi yake.
Namuona kabisa 2030 Chama cha Mapinduzi wakimsimamisha kama mgombea wa Urais na mimi nitampigia kura.
Binafsi kama mtumishi nimeridhishwa na utendaji wake.
Karibuni kwa hoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hata ingekua ni wewe ungefanya makeke um-disappoint ma mkwe wako???
Kwa nchi ilijaa wapumbavu kama hii lolote linawezekanaNamuona huyu waziri angalau ukilinganisha na wengineo, yeye anaonekana ana haiba ya uongozi, hana longolongo nyingi sana maneno kidogo vitendo vingi, kama akiendelea na hii kasi yake.
Namuona kabisa 2030 Chama cha Mapinduzi wakimsimamisha kama mgombea wa Urais na mimi nitampigia kura.
Binafsi kama mtumishi nimeridhishwa na utendaji wake.
Karibuni kwa hoja.
Bi kiziwi aliwahi sema eti ana kifua kpanaAmekutendea nini? Waeleze wanaJF alichokufaidisha.