Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,656
Ukipata nafasi ya kuzungumzia masuala la ya soka la tanzania na aliyekuwa golikipa wa timu ya Simba na Taifa stars, Mohamed Mwameja, ni lazma akusimulie kisa hiki.
Miaka ya tisini enzi hizo Muhidini Ndongala akiwa ni Mwenyekiti wa chama cha soka cha tanzania(FAT).
Taifa Stars ilikuwa katika michuano ya kuwania kufuzu kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika, ikawa imebakiza mechi moja ya ugenini ambayo Taifa stars ilihitaji droo tu na timu ya taifa ya Bukinafaso ili ifuzu kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika.
Inasemekana Ndolanga alipokea hongo, mpaka siku ya mechi inakaribia, Mwenyekiti huyo akatoa comment kwamba FAT haina pesa ya kuigharamia timu hivyo timu ikajitoa na kuiachia Bukinafaso ifuzu kiulainii.
Miaka ya tisini enzi hizo Muhidini Ndongala akiwa ni Mwenyekiti wa chama cha soka cha tanzania(FAT).
Taifa Stars ilikuwa katika michuano ya kuwania kufuzu kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika, ikawa imebakiza mechi moja ya ugenini ambayo Taifa stars ilihitaji droo tu na timu ya taifa ya Bukinafaso ili ifuzu kushiriki michuano ya mataifa ya Afrika.
Inasemekana Ndolanga alipokea hongo, mpaka siku ya mechi inakaribia, Mwenyekiti huyo akatoa comment kwamba FAT haina pesa ya kuigharamia timu hivyo timu ikajitoa na kuiachia Bukinafaso ifuzu kiulainii.