Ame copy na ku paste huyomama D upo vizuri.
HHuyu
Huyu inasemekana alikuwa anajihusisha mapenzi ya kisodoma wakati wa utawala wa komandoo
Dah! Basi ngoja tu nikupe pole ya kinyonge. πTate Mkuu
Leo nimemkumbuka baba πππ nipe hata pole nipoe kidogo
Aendelee kupumzika kwa amani Mwamba John Pombe Joseph Magufuli
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kifo cha ndugu yetu mpaka sasa page ya 2, sipati picha angelikua wa upande wa pili especially wa huku kwetu bara π
Jamaa alikua ni mwamba sana, Hela aliichuma, familia kaiacha katika mazingira salama, Japo Dr Mwinyi kule Zanzibar anapigana kuitoa company yake Palle AirPort. Alikua ni muumini wa Zanzibar huru kwa mda mrefu sana. Hakuwa na U element za u CCM kabisa. Alikuwa ni CCM maslahi tu kama walivyo watu wa jamii ya kihindi wengi tu. wengi hujifanya CCM kwa kulinda Biashara zao.