Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mohamed Said na uvurugaji wa historia ya nchi yetu
Na Prudence Karugendo
''Nimevumilia sana mpaka imefikia mahali naona niandike kuhusu uvurugaji wa makusudi wa historia ya nchi yetu unaofanywa na mtu mmoja anayejiita kijana wa mjini, hasa Dar es salaam, Mohamed Said!''
Hii ni sentensi ya utanguliza katika barua yake aliyoniandikia na kuisambaza kwa wasomaji
wengi kwa barua pepe.
Jibu langu kwake nimeliweka pamoja na barua hii yake.
Soma utetezi wangu hapo chini:
Na Prudence Karugendo
''Nimevumilia sana mpaka imefikia mahali naona niandike kuhusu uvurugaji wa makusudi wa historia ya nchi yetu unaofanywa na mtu mmoja anayejiita kijana wa mjini, hasa Dar es salaam, Mohamed Said!''
Hii ni sentensi ya utanguliza katika barua yake aliyoniandikia na kuisambaza kwa wasomaji
wengi kwa barua pepe.
Jibu langu kwake nimeliweka pamoja na barua hii yake.
Soma utetezi wangu hapo chini: