Mohamed Said na Historia ya TANU

Mohamed Said na Historia ya TANU

- Labda Tuseme Ulitaka Kumaanisha PADRI PRIVATUS KARUGENDO, Ambaye Pia Alishaacha Upadri Huo Ingawa Bado Anatambulika Kama Padri.
Mkuu Remote, upadirisho ni daraja, linalokuwa earned, kama ilivyo udakitari, once ukiwa Padri, wewe ni Padri, hata ukiachishwa upadri, bado unaitwa Padri, kama Father Nkwera, Padri Silaha, etc, kitu ambacho hawawezi kufanya ni kuendesha tuu ibada ya misa takatifu, lakini Padri Karugendo, sio tuu ameachishwa upadri, bali amefutiwa huo upadri kwa kubatilishwa na haruhusiwi kujiita Padri, japo bado anajiita hivyo.

Padri aliyeacha upadiri ni Dr. Slaa, Padri Privatus Karugendo, hakuacha, bali ameachishwa! baada ya Askofu wake wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine NiweMugizi kumshitaki kwa Baba Mtakatifu Papa Benedikto wa XVI, ambaye alitoa hati ya kumfuta kabisa kwa kubatilisha upadiri wake na kurejesha kuwa muumini wa kawaida yaa ni Mlei.
Kosa lake ni hili Sababu za "kufutwa" kwa Upadre wa Karugendo - JamiiForums
P
 
Mkuu Remote, upadirisho ni daraja, linalokuwa earned, kama ilivyo udakitari, once ukiwa Padri, wewe ni Padri, hata ukiachishwa upadri, bado unaitwa Padri, kama Father Nkwera, Padri Silaha, etc, kitu ambacho hawawezi kufanya ni kuendesha tuu ibada ya misa takatifu, lakini Padri Karugendo, sio tuu ameachishwa upadri, bali amefutiwa huo upadri kwa kubatilishwa na haruhusiwi kujiita Padri, japo bado anajiita hivyo.

Padri aliyeacha upadiri ni Dr. Slaa, Padri Privatus Karugendo, hakuacha, bali ameachishwa! baada ya Askofu wake wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine NiweMugizi kumshitaki kwa Baba Mtakatifu Papa Benedikto wa XVI, ambaye alitoa hati ya kumfuta kabisa kwa kubatilisha upadiri wake na kurejesha kuwa muumini wa kawaida yaa ni Mlei.
Kosa lake ni hili Sababu za "kufutwa" kwa Upadre wa Karugendo - JamiiForums
P
Pascal!

Kwa ruhusa yako naomba nikutafutie kazi Google. Si kwa maana ya mshahara bali kusaidia kufukua na kuhifadhi machimbo.
 
Mkuu Remote, upadirisho ni daraja, linalokuwa earned, kama ilivyo udakitari, once ukiwa Padri, wewe ni Padri, hata ukiachishwa upadri, bado unaitwa Padri, kama Father Nkwera, Padri Silaha, etc, kitu ambacho hawawezi kufanya ni kuendesha tuu ibada ya misa takatifu, lakini Padri Karugendo, sio tuu ameachishwa upadri, bali amefutiwa huo upadri kwa kubatilishwa na haruhusiwi kujiita Padri, japo bado anajiita hivyo.

Padri aliyeacha upadiri ni Dr. Slaa, Padri Privatus Karugendo, hakuacha, bali ameachishwa! baada ya Askofu wake wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara, Severine NiweMugizi kumshitaki kwa Baba Mtakatifu Papa Benedikto wa XVI, ambaye alitoa hati ya kumfuta kabisa kwa kubatilisha upadiri wake na kurejesha kuwa muumini wa kawaida yaa ni Mlei.
Kosa lake ni hili Sababu za "kufutwa" kwa Upadre wa Karugendo - JamiiForums
P
Naam, nakumbuka kipindi Fulani Privatus Karugendo alikua anaandika sana juu ya mgogoro wake na kanisa
 
Kwako Mzee wangu Mohamed Said!

Nimekua najiuliza sana kuhusu kiwango chako cha busara na hekima....hakika kimetukuka sana!

Kwa faida yangu, hebu nambie. Imetokana na umri? Malezi? Elimu? Exposure? Kabila?

Kama ni dini hapana nakataa maana kuna baadhi ya masheikh wao kila uchao mawaidha yao ni kuhusu kuchagua wanawake na jinsi ya kuwaridhisha na kuwachunga.....mbaya zaidi mawaidha hayo huambatana na vitisho na amri lukuki na wangeweza wangetoa hata laana.

Nambie kama ni elimu kwa maana ya shule au kusoma vitabu basi naiomba elimu hiyo nami pia. Nitamgawia na bwana yule pia.
 
Kwako Mzee wangu Mohamed Said!

Nimekua najiuliza sana kuhusu kiwango chako cha busara na hekima....hakika kimetukuka sana!

Kwa faida yangu, hebu nambie. Imetokana na umri? Malezi? Elimu? Exposure? Kabila?

Kama ni dini hapana nakataa maana kuna baadhi ya masheikh wao kila uchao mawaidha yao ni kuhusu kuchagua wanawake na jinsi ya kuwaridhisha na kuwachunga.....mbaya zaidi mawaidha hayo huambatana na vitisho na amri lukuki na wangeweza wangetoa hata laana.

Nambie kama ni elimu kwa maana ya shule au kusoma vitabu basi naiomba elimu hiyo nami pia. Nitamgawia na bwana yule pia.
Sheikh Said,
Hamna kitu kaka tunahangaika tu.
 
Naam, nakumbuka kipindi Fulani Privatus Karugendo alikua anaandika sana juu ya mgogoro wake na kanisa
Kiukweli alionewa tuu, kosa lake ni kufundisha kuhusu condom.
Kwa Wakatoliki matumizi ya condom ni dhambi, kufanya tendo kabla ya ndoa au nje ya ndoa ni kuzini, ni dhambi, yeye akafundisha kuwa kwa vile imethibitishwa kuna Wakatoliki wengi wanazini ambapo ni ndambi, ukiamua kuzini tayari ni dhambi, hivyo bora uzini kwa kutumia condom ili uzinifu wako usije kukuangamiza kwa kukuletea gonjwa la ukimwi, ukamuangamiza mwenza wako ambaye ni mwaminifu. Hili likawa kosa kubwa, sio tuu alivuliwa upadri, bali upadri wake ulibatilishwa akawa mlei.
P
 
Kiukweli alionewa tuu, kosa lake ni kufundisha kuhusu condom.
Kwa Wakatoliki matumizi ya condom ni dhambi, kufanya tendo kabla ya ndoa au nje ya ndoa ni kuzini, ni dhambi, yeye akafundisha kuwa kwa vile imethibitishwa kuna Wakatoliki wengi wanazini ambapo ni ndambi, ukiamua kuzini tayari ni dhambi, hivyo bora uzini kwa kutumia condom ili uzinifu wako usije kukuangamiza kwa kukuletea gonjwa la ukimwi, ukamuangamiza mwenza wako ambaye ni mwaminifu. Hili likawa kosa kubwa, sio tuu alivuliwa upadri, bali upadri wake ulibatilishwa akawa mlei.
P
Yes nakumbuka msimamo wake huu,na kwa kuongezea alisema kwamba yy kama padri anaumia kuona waumini wanapungua ktk ibada na jumuia ,kwa kufariki na ugonjwa huo

Lkn Mkuu si unajua Kanisa Katoliki kwa Misimamo yao? Haliyumbi wala kuyumbishwa na Halidanganyi wala kudanganyika
 
Yes nakumbuka msimamo wake huu,na kwa kuongezea alisema kwamba yy kama padri anaumia kuona waumini wanapungua ktk ibada na jumuia ,kwa kufariki na ugonjwa huo

Lkn Mkuu si unajua Kanisa Katoliki kwa Misimamo yao? Haliyumbi wala kuyumbishwa na Halidanganyi wala kudanganyika
It's true na mimi ni Mkatoliki, nilifanya mahojiano na Askofu Methodius Kilaini, kuhusu janga la ukimwi, nikauliza kuwa wanajua Wakatoliki wengi wanazini kabla ya ndoa, kwa nini wasiruhusu condom, alijibu kuzini ni dhambi, na mshahara wa dhambi ni mauti, kuruhusu condom ni sawa na kuruhusu dhambi, hivyo bora wazinifu wote wafwe, kuliko kuruhusu condom.

Nikauliza na ndani ya ndoa, itakapothibitika mwanandoa mmoja ni muathirika, kuzuia matumizi ya condom ni kumuweka yule mwanandoa mwingine at risk, alijibu, ikitokea hivyo wanandoa hao wanaoaswa kugeuka matowoshi kwa kupractice callibacy
P
 
It's true na mimi ni Mkatoliki, nilifanya mahojiano na Askofu Methodius Kilaini, kuhusu janga la ukimwi, nikauliza kuwa wanajua Wakatoliki wengi wanazini kabla ya ndoa, kwa nini wasiruhusu condom, alijibu kuzini ni dhambi, na mshahara wa dhambi ni mauti, kuruhusu condom ni sawa na kuruhusu dhambi, hivyo bora wazinifu wote wafwe, kuliko kuruhusu condom.

Nikauliza na ndani ya ndoa, itakapothibitika mwanandoa mmoja ni muathirika, kuzuia matumizi ya condom ni kumuweka yule mwanandoa mwingine at risk, alijibu, ikitokea hivyo wanandoa hao wanaoaswa kugeuka matowoshi kwa kupractice callibacy
P
Nami ni mkatoliki mkuu lkn kipindi nafanya Kazi shirika moja la kujitolea ,pamoja na ile kampeni ya ISHI ,tulikua na semina na watu wa PASADA wao walikua wanaita KIVUKO, asee km mratibu kwa upande wa vijana walio nje ya shule ,nilikua napata wakati mgumu kuelezea matumizi ya Condoms huku watu wa kanisa wakiwa pembeni

Ki uhalisia Padri Privuts Karugendo alikua sahihi kabisa, ila kwa kanisa letu Katoliki ni kosa kubwa sana ,kuhubiri utoaji mimba na matumizi ya condoms
 
Ila pia katika mashtaka ambayo mamlaka iliyathbitisha Alihimiza Dsm akawa anaishi na mwanamke kama mkewe.
 
Back
Top Bottom