Nakubaliana nawe , mwaka jana walimaliza namba 3 , msimu ulioisha wamemaliza namba 2 , msimu ujao wanabeba ndoo .UBINGWA NI WA TOTENHAM HOTSPURS
Watacheza hao wote wanne kikosi kimoja yaani kwa wakati mmoja?Mo Salah atatisha. So kwa sababu ni tishio, bali ni kwa sababu ya wachezaji watakaomzunguka. Mtu umezungukwa na Firmino, Mane afu na kachawi ka kiBrazil Coutinho...
Isitoshe Lallana nae. Na ukizingatia uwezo wake Wa kuSprint, ase Liver hii mmmmmmmm
Ina onekana jinsi ulivyo mgeni wa EPl ww nadhan umjui CHELSEAUBINGWA NI WA TOTENHAM HOTSPURS
Mkuu ulitegemea nini kwa timu level ya Liverpool? Sawa na mashabiki wa deportivo la coruna walipokua wanamuona lucas perez kama mungu wao, huna haja ya kushangaa kila timu ina staa wao kulingana na level ya timu yake.
Misimu miwili iliyopita totenham Hotspurs walimaliza msimu wakiwa nafasi ya tatu. Mwaka huu imemaliza nafasi ya pili, mwakani ni kutwaa ndoo.Ina onekana jinsi ulivyo mgeni wa EPl ww nadhan umjui CHELSEA
LET'S BLUE COLOUR FLY HIGH
Asay noo msimu wa 13/14 walikua wa nne, 14/15 walikua wa tatu, 15/16 walikua wa pili, 16/17 wakaenda namba tanoMisimu miwili iliyopita totenham Hotspurs walimaliza msimu wakiwa nafasi ya tatu. Mwaka huu imemaliza nafasi ya pili, mwakani ni kutwaa ndoo.
Make no mistake.
Tuna mkakati wa kutwaa kombe na sio kufurahisha baraza.Asay noo msimu wa 13/14 walikua wa nne, 14/15 walikua wa tatu, 15/16 walikua wa pili, 16/17 wakaenda namba tano
Unadhani kuna timu ambazo hazina mikakati ya kutwaa kombe? Tatizo uwezoTuna mkakati wa kutwaa kombe na sio kufurahisha baraza.
Injuries mkuu.Hata kwa Sadio Mane mlisema hivyo hivyo
Wamemaliza wa pili ni kweli. Hujiulizi kwa tofauti ya points ngapi?Nakubaliana nawe , mwaka jana walimaliza namba 3 , msimu ulioisha wamemaliza namba 2 , msimu ujao wanabeba ndoo .
Ndio. Coutinho (8) Firminho (10) Manne (7) Mmisri 9Watacheza hao wote wanne kikosi kimoja yaani kwa wakati mmoja?
Kule Roma alikuwa anacheza na akina nani ?
Coutinho amekaa 8, vipi Hedarson? Halafu wakati huo Can atakuwa 6? Na 11 atakaa nani?Ndio. Coutinho (8) Firminho (10) Manne (7) Mmisri 9
kwan Liver atacheza na Messi???Kule Roma alikuwa anacheza na akina nani ?
Origi.Coutinho amekaa 8, vipi Hedarson? Halafu wakati huo Can atakuwa 6? Na 11 atakaa nani?
Henderson ni back pass player. Hapeleki mipira mbele. Bora Wiljudin G.Coutinho amekaa 8, vipi Hedarson? Halafu wakati huo Can atakuwa 6? Na 11 atakaa nani?
Hapo ni kwamba 6. Wiljudin, 7. Mane, 8. Coutinho, 9. Origi, 10. Firmino, 11. Salah. Mnapotezwe kiungo hamtaamini nakuambia na huyu Coutinho na Wiljudin watapata wakati mgumu sana kupeleka mipira mbeleHenderson ni back pass player. Hapeleki mipira mbele. Bora Wiljudin G.
Can ataingia sub ya Firminho kupunguza speed ya adui. Technical sub.
Kama kawaida mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...yule muigpyt sio wa mchezoYule Mu Egypt yuko njema