Weweee. Kwa mpira wa the Cops. Tatizo letu ni fullbacks (R,L) na CB. Tungempata mholanzi acheze na Martip hakiya Mungu mngekoma.Hapo ni kwamba 6. Wiljudin, 7. Mane, 8. Coutinho, 9. Origi, 10. Firmino, 11. Salah. Mnapotezwe kiungo hamtaamini nakuambia na huyu Coutinho na Wiljudin watapata wakati mgumu sana kupeleka mipira mbele
Yaan kwa wachezaji mlionao mpaka sasa naona mnaweza kucheza 4-1-4-1. Ila sasa sijui kama itawafaa kwa kweli, maana hiyo formation Chelsea na Spurs walianza nayo mambo yakataka kuwa si mambo wakabadiliWeweee. Kwa mpira wa the Cops. Tatizo letu ni fullbacks (R,L) na CB. Tungempata mholanzi acheze na Martip hakiya Mungu mngekoma.
Hahaha ndio hivyo..kamcheki youtube uone balaa lakeKama kawaida mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] ...yule muigpyt sio wa mchezo
Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Wakati ule ndo alikuwa mkali zaidi, akiwa Basel aliwafunga Chelse bao mbili kwa kasi ya ajabu akitoke wingi ya kushoto. Liverpool walipomtaka, Morinho akajua ni balaa linakuja. Liverpool walitoa mil 8, Morinho akatoa mil 9, Liverpool wakatoa mil 10, Morinho akatoa mil 11......Liverpool wakaachana nae.Sijui ilikuwaje Chelsea tukamuuza. I guess the competition was stiff. Na hili sasa linaweza kupelekea tukampoteza mtu kama Willian. Benchi halimfai kabisa.
Chelsea ni wataalamu wa kufakamia na kuharibu deals za watu. Hata Willian walimchukulia Airport on his way to Tottenham. Pedro pia alikuwa aende Man Utd ila jamaa wakawahi juu kwa juu.Liverpool walitoa mil 8, Morinho akatoa mil 9, Liverpool wakatoa mil 10, Morinho akatoa mil 11......Liverpool wakaachana nae.
UBINGWA NI WA TOTENHAM HOTSPURS
Na kiungo asili mkabaji....staili ya mascherano....but nashukur tuna keita...anakuja...YNWAWeweee. Kwa mpira wa the Cops. Tatizo letu ni fullbacks (R,L) na CB. Tungempata mholanzi acheze na Martip hakiya Mungu mngekoma.
Very much aliveHii ndoto bado unayo mkuu ?