simba wa dodoma
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 928
- 1,012
Wameshuka mpaka nafasi ya saba kwa sasa !Very much alive
Sasa ndugu yangu kwa hiyo wachezaji best lazima wawe dribbler. Sisi tulikuwa na Mogela mchezaji bora alikuwa na dribble? Romario? Ronaldo mwenyewe sio good dribbler. Muhimu je huyu mchezaji ana changia team yake kupata ushindi. Mo hajawa mchezaji bora bado ila ni mchezaji mzuri sio Liv tu pia kaipeleka team yake Egypt world cup kwa huo mpira wake. He is good playerSarah hawezi ku -dribble mpira, yeye mpaka umlishe pass ndefu imfikie kushoto ama kulia - sasa kwa mbio zake na shabaha aliyonayo ni hatari.
Hii ndiyo weekness aliyonayo. Ili uwe mchezaji wa kiwango cha juu unatakiwa kuwa na kila kitu - bado kwangu mimi hajafikia hata kidogo viwango vya kina Hazard na Countinho - Ila ni mchezaji ambaye ataisaidia Liverpool kupata nafasi kucheza Ligi ya Mabigwa Ulaya.
Kumuweka kwenye list ya viwango vya Dunia bado sana; bado sana.
Na ana spidi, one on one lazima umshike shati.Winga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
Mkuu, hayo yote sawa, ila niliogopa pale uliposema sasa yupo kiwango cha Dunia, yaani yupo daraja moja au karibu kabisa na kina Messi, Ronaldo, Neymar, Continho na kidogo Hazard.Sasa ndugu yangu kwa hiyo wachezaji best lazima wawe dribbler. Sisi tulikuwa na Mogela mchezaji bora alikuwa na dribble? Romario? Ronaldo mwenyewe sio good dribbler. Muhimu je huyu mchezaji ana changia team yake kupata ushindi. Mo hajawa mchezaji bora bado ila ni mchezaji mzuri sio Liv tu pia kaipeleka team yake Egypt world cup kwa huo mpira wake. He is good player
Hayo mambo ya chenga twawala wanayo KMKM ya unguja , huku hakuna .Sarah hawezi ku -dribble mpira, yeye mpaka umlishe pass ndefu imfikie kushoto ama kulia - sasa kwa mbio zake na shabaha aliyonayo ni hatari.
Hii ndiyo weekness aliyonayo. Ili uwe mchezaji wa kiwango cha juu unatakiwa kuwa na kila kitu - bado kwangu mimi hajafikia hata kidogo viwango vya kina Hazard na Countinho - Ila ni mchezaji ambaye ataisaidia Liverpool kupata nafasi kucheza Ligi ya Mabigwa Ulaya.
Kumuweka kwenye list ya viwango vya Dunia bado sana; bado sana.
wao Basel walikuwa wanamwita "The Rocket"Na ana spidi, one on one lazima umshike shati.
Ili ufikie viwango vya dunia unatakiwa uwe vp??Mkuu, hayo yote sawa, ila niliogopa pale uliposema sasa yupo kiwango cha Dunia, yaani yupo daraja moja au karibu kabisa na kina Messi, Ronaldo, Neymar, Continho na kidogo Hazard.
Ila ki ukweli ni mchezaji mzuri - niliumia pia alipondoka - nakumbuka goli alilolotutungua CPL away game akiwa na Basel - Mourihno akamnunua kisha hakumtumia akamuuza tena.
He is a good player tukubali tu ukweli, ingawa bado kuwafikia wale giants wa dunia.
Mohamed Sarah akitutungua goli kwenye mechi ya CL mwaka 2013,
Hao wachezaji wote uliowataja ni top ila sasa Messi ni level nyingine tatizo lake hajashinda kitu nje ya Barca. Ronaldo ni mfungaji bora sio lazima uchezaji bora kwa maoni yangu mimi Xavi wakati wake na Iniesta ni bora akili ya mpira. Neymar bado hajafanya lolote ana safari ndefu sio kwa kujificha katika league dhaifu. Coutinho mzuri sana tu ila nakuhakikishia leo Liv ukiwaambia muuzeni mchezaji mmoja kt ya Cout na Salah watamuuza Cout. Sababu Salah anawafungia magoal mengi na game changer ila Coutinho ni mzuri sana wanacheza positions tofauti na majukumu tofauti.Mkuu, hayo yote sawa, ila niliogopa pale uliposema sasa yupo kiwango cha Dunia, yaani yupo daraja moja au karibu kabisa na kina Messi, Ronaldo, Neymar, Continho na kidogo Hazard.
Ila ki ukweli ni mchezaji mzuri - niliumia pia alipondoka - nakumbuka goli alilolotutungua CPL away game akiwa na Basel - Mourihno akamnunua kisha hakumtumia akamuuza tena.
He is a good player tukubali tu ukweli, ingawa bado kuwafikia wale giants wa dunia.
Mohamed Sarah akitutungua goli kwenye mechi ya CL mwaka 2013,
Hao wachezaji wote uliowataja ni top ila sasa Messi ni level nyingine tatizo lake hajashinda kitu nje ya Barca. Ronaldo ni mfungaji bora sio lazima uchezaji bora kwa maoni yangu mimi Xavi wakati wake na Iniesta ni bora akili ya mpira. Neymar bado hajafanya lolote ana safari ndefu sio kwa kujificha katika league dhaifu. Coutinho mzuri sana tu ila nakuhakikishia leo Liv ukiwaambia muuzeni mchezaji mmoja kt ya Cout na Salah watamuuza Cout. Sababu Salah anawafungia magoal mengi na game changer ila Coutinho ni mzuri sana wanacheza positions tofauti na majukumu tofauti.
Nakubaliana na ww mkuu ila siyo kuipa Liverpool ubingwaWinga hatari wa Misri ambaye amejiunga na Liverpool akitokea AS ROMA ya Italia Mohamed Salah , anaweza kuipa Liverpool ubingwa wa kwanza , na hivyo kukata kiu ya mashabiki wa timu hiyo waliokaukiwa makombe kwa kipindi kirefu kinachofiikia umri wa mtu mzima.
Ni faida kubwa sana kwa ligi ya uingereza kupata mchezaji wa aina hii , huyu si mchezaji wa kupaka rangi mpira ili apigwe picha , ni mchezaji mkali ambaye kosa moja linaweza kukugharimu magoli mawili .
Ni miongoni mwa wachezaji wakali wa dunia hii wasiofahamika sana .
Muda utaongea , bali naipongeza sana Liverpool kwa kuwa na jicho la 3 la kuweza kumuona mchezaji huyu.
mkuu, nilipomaliza tu kusoma hii post yako nikajikuta nakumbuka Chato na watu wake, sijui kwa nini.Nakubaliana na ww mkuu ila siyo kuipa Liverpool ubingwa
They have waited since 1989
He is just a single player.He is one of eleven
Liverpool had so many world class players like Gerald,Alonso,Albeloa and many others who won UCL but failed to win league title
For this current Liverpool, they will continue wait and wait since they haven't proove to us that they have different plans from those of previous seasons.
It is different from their fellows of top six
Kisamkuu, nilipomaliza tu kusoma hii post yako nikajikuta nakumbuka Chato na watu wake, sijui kwa nini.
samahani lakini....
wee acha tu mkuu.Kisa
Vp nimekosea kuandika au?wee acha tu mkuu.
C yule boss mjinga wa man u ndo alimuuzaSijui ilikuwaje Chelsea tukamuuza. I guess the competition was stiff. Na hili sasa linaweza kupelekea tukampoteza mtu kama Willian. Benchi halimfai kabisa.
wee acha tu mkuu.
Au we mkuu nambie nilipokoseaMkuu ungemwanbia ukweli alichokosea kuliko kumficha.sio poa
Mkuu ungemwanbia ukweli alichokosea kuliko kumficha.sio poa